inategemea unaivest wapi.
Tanzania akibaki magu tutafika $100bil
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania akibaki magu tutafika $100bil
24 days to go jomba la mwakani...[emoji23][emoji23][emoji23]Wakenya uwa wabishi sana zamani tuliwaambia vitu mkabisha hivi hivi ila mwisho wa siku mkaja kulia na kukubali ukweli mfano bomba LA mafuta na COW na mengine mengi sasa nashangaa kwanini ili la mwakani amlioni kwakuwa lipo wazi hadi serikali yenu inalijua ndiyo maana inaangaika na mambo ya BBI na kumtumia waziri wa tz kuja Kenya wewe unazani Kwa nini wasitumie wazungu kama kawaida yenu au hata waziri mwingine wa nchi Ila tz , sababu serikali ya Kenya imetambua kitu kuhusu yanayo endelea Tanzania yananguvu ya kuhukumu hatima ya Kenya katika u chumi na ukabila
Hivyo ilo neno unalo lidharau la subiri mwakani ni neno kuu ni sawa sawa na jiwe kuu la pembeni yoyote atakaye liangukia atavunjika Vunjika na yoyote litakalo mwangukia litamsaga kabisa
Km ile tsh 1.5 trillion sio...Soma tena usikulupuke arafu ujue Kenya $1bil inapoenda kufanya kazi inakuwa hivi
$400mil inaenda Kwa mzungu au mchina au muhindi nk na $200mil inaenda Kwa wakikuyu ufisadi & $100mil inaenda kuliwa na mainjinia kifisadi only $300mil ndiyo inakwenda kwenyeshughuli usika so $1bil ni tz = $3bil in kenya
Ushauri mwakani ni marufuku wakenya kutamka ili neno "HAPPY NEW YEAR" kwasababu 2020 utakuwa mwanzo wa mwaka mbaya sana Kwa Kenya Kwa miaka ijayoKm ile tsh 1.5 trillion sio...
Ukiongezea na $18m kw ajili ya matibabu ya ndugai[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Nyerere anakusoma tu hko aliko, manake alichowafanyia ywajutiaUshauri mwakani ni marufuku wakenya kutamka ili neno "HAPPY NEW YEAR" kwasababu 2020 utakuwa mwanzo wa mwaka mbaya sana Kwa Kenya Kwa miaka ijayo
Ulimsoma mkenya mwenzako aliye sema kaja dar uwanja wa ndege wa JNIA ni mzuri sasa tumemwambia alete picha za slum za dar hadi Leo kimya VP mbona mkija bongo mñashindwa kutuonyesha slum dar au tunawapigeni uchawi amzioniNyerere anakusoma tu hko aliko, manake alichowafanyia ywajutia
Tusubiri mwakani bana...mbna unaweweseka hvoUlimsoma mkenya mwenzako aliye sema kaja dar uwanja wa ndege wa JNIA ni mzuri sasa tumemwambia alete picha za slum za dar hadi Leo kimya VP mbona mkija bongo mñashindwa kutuonyesha slum dar au tunawapigeni uchawi amzioni
Our approval is needed?Ulimsoma mkenya mwenzako aliye sema kaja dar uwanja wa ndege wa JNIA ni mzuri sasa tumemwambia alete picha za slum za dar hadi Leo kimya VP mbona mkija bongo mñashindwa kutuonyesha slum dar au tunawapigeni uchawi amzioni
Ohoooooohoooo mwakani hiyooo hatari sana sijui nyani zitaambia nini watuTusubiri mwakani bana...mbna unaweweseka hvo
Nyerere anakusoma tu hko aliko, manake alichowafanyia ywajutia
Kenyatta alijimilikisha ardhi kubwa na pia inajulikana...What about kenyatta who sold you into slavery?
sera mbovu muna zijua ninyi lakini kwetu ametuachia urithi na heshima kubwa kwa Taifa letu na barani Africa ,Kenyatta aliwaachia Unyang'au😁😁😁Kenyatta alijimilikisha ardhi kubwa na pia inajulikana...
Nyerere yeye aliwatia kw shimo kw sera zake mbovu
Bwahahaa...kawaachia ujinga na umaskinisera mbovu muna zijua ninyi lakini kwetu ametuachia urithi na heshima kubwa kwa Taifa letu na barani Africa ,Kenyatta aliwaachia Unyang'au[emoji16][emoji16][emoji16]
😂😂😂sera mbovu muna zijua ninyi lakini kwetu ametuachia urithi na heshima kubwa kwa Taifa letu na barani Africa ,Kenyatta aliwaachia Unyang'au😁😁😁
Kenyatta alijimilikisha ardhi kubwa na pia inajulikana...
Nyerere yeye aliwatia kw shimo kw sera zake mbovu
Kenya ardhi kibao jomba, vijijini ardhi kubwa..Alijimilikisha ardhi kubwa, nyie mkabakia kuwa vibarua.
Teh te te
Kenya ardhi kibao jomba, vijijini ardhi kubwa..
Yani hta kesho ukitaka hekari 1,000 hku unanua, ujamaa tuliwaachia nynyi
Heheeee!!!hta kesho ukitaka hela yako tu ..nakupeleka maeno mazuri tu unachukua kiwanja chako na hatiwewe unaisema kenya ya kufikirika.