Updated 2024 GDP Projections. Major Economies in the Eastern Africa

24 days to go jomba la mwakani...[emoji23][emoji23][emoji23]
Tushakuelewa haina haja utuhubirie
 
Km ile tsh 1.5 trillion sio...
Ukiongezea na $18m kw ajili ya matibabu ya ndugai[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Km ile tsh 1.5 trillion sio...
Ukiongezea na $18m kw ajili ya matibabu ya ndugai[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Ushauri mwakani ni marufuku wakenya kutamka ili neno "HAPPY NEW YEAR" kwasababu 2020 utakuwa mwanzo wa mwaka mbaya sana Kwa Kenya Kwa miaka ijayo
 
Ushauri mwakani ni marufuku wakenya kutamka ili neno "HAPPY NEW YEAR" kwasababu 2020 utakuwa mwanzo wa mwaka mbaya sana Kwa Kenya Kwa miaka ijayo
Nyerere anakusoma tu hko aliko, manake alichowafanyia ywajutia
 
Nyerere anakusoma tu hko aliko, manake alichowafanyia ywajutia
Ulimsoma mkenya mwenzako aliye sema kaja dar uwanja wa ndege wa JNIA ni mzuri sasa tumemwambia alete picha za slum za dar hadi Leo kimya VP mbona mkija bongo mΓ±ashindwa kutuonyesha slum dar au tunawapigeni uchawi amzioni
 
Ulimsoma mkenya mwenzako aliye sema kaja dar uwanja wa ndege wa JNIA ni mzuri sasa tumemwambia alete picha za slum za dar hadi Leo kimya VP mbona mkija bongo mΓ±ashindwa kutuonyesha slum dar au tunawapigeni uchawi amzioni
Tusubiri mwakani bana...mbna unaweweseka hvo
 
Ulimsoma mkenya mwenzako aliye sema kaja dar uwanja wa ndege wa JNIA ni mzuri sasa tumemwambia alete picha za slum za dar hadi Leo kimya VP mbona mkija bongo mΓ±ashindwa kutuonyesha slum dar au tunawapigeni uchawi amzioni
Our approval is needed?
 
Kenyatta alijimilikisha ardhi kubwa na pia inajulikana...
Nyerere yeye aliwatia kw shimo kw sera zake mbovu
sera mbovu muna zijua ninyi lakini kwetu ametuachia urithi na heshima kubwa kwa Taifa letu na barani Africa ,Kenyatta aliwaachia Unyang'au😁😁😁
 
sera mbovu muna zijua ninyi lakini kwetu ametuachia urithi na heshima kubwa kwa Taifa letu na barani Africa ,Kenyatta aliwaachia Unyang'au[emoji16][emoji16][emoji16]
Bwahahaa...kawaachia ujinga na umaskini
 
The irony! A pliant people, under one party rule, effectively a dictatorship, and a largely unproductive population without any economic, social or political winnings to show.

Once you are intoxicated by ujamaa and trained to believe that Kenyans are the enemies there is no going back.
 
Alijimilikisha ardhi kubwa, nyie mkabakia kuwa vibarua.
Teh te te
Kenya ardhi kibao jomba, vijijini ardhi kubwa..
Yani hta kesho ukitaka hekari 1,000 hku unanua, ujamaa tuliwaachia nynyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…