KweliWatanzania kwa unafiki tunaweza kuongoza, unaweza kukuta wewe ni wa 6 au wa 7 kuzaliwa kwenu, hujawahi kumshangaa mama yako ila zari kuzaa mtoto wa 5 mnaona ajabu. Mungu anatuona.
He must be cute [emoji3][emoji3]
Point hap ulipo kunywa chochote nalipa sawMbona watoto wenu hamuwasujudii kama huyo mtoto wa diamond?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaani daah!Mambo yako vizuri kabisa chibu Jr huyoooooooooooooooooooo makofi kwake tafadhali
Ndoa ya kimya kimya duh,sijui kwa upande mwingine ila kwa dini yangu huwa lazma watangaze kanisani,ili kama kuna mwenye kipingamizi aseme mapemaaa yote ni kuongeza uhalali wa hiyo ndoa,I think hata bomani wanawekaga tangazo am not sure thoughWaoane mara mbili?
Poa utakuja kulipia mirindaPoint hap ulipo kunywa chochote nalipa saw
Mahaba yamekuzidi sio makosa yako[emoji113]Jipe pole mwenyewe tu miminsina tatizo ni nyie na roho mbaya zenu ...leo ndo mnajua kua watu wanatakiwa wawape sapoti watoto wao na sio wa diamond
Hongera santuuu kwa kupata babyJamani namie nipeni pongezi kwani my wife naye kajifungua ila huku tarime hua hawaendi hosp so ilikua Leo saa sita akiwa shambani........
he must be cuteAliyesema sio cute nani? Acha ushamba
Hicho kitu hakijui, anaangusha tu
Kwa sheria ya kiislam mpaka sasa diamond hana mtoto Kwa kuwa hawana ndoa
FaizaFoxy
hahahahahahaaa eti incubtor!! watu mna maneno!!πππIle ni incubator bro... Chibu atashindwa yeye kuendelea kuzalisha, yule mdada naweza sema ana asili ya kwetu Giningi maana sisi mwenye wachache basi ni 8
Mkuu Naona Upo Kazini Je wako tutamuona Lini au Ndio unakunywa maji Kwanzaa wingiHahaha povu nilitoe wapi hahahha
nimejibu hoja kwa hoja hapo
hizo ni chuki za wazi ...unawezaje kuish maisha haya kwa kumchukia hata kiumbe kisicho na hatia dduh kama mtoto mchanga..duuh pole mwana