jerry joshy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 402
- 504
- Thread starter
-
- #21
we nawe mbona hamjidhaminigi eti mtoto wa taifa kwanza sio wa taifa lenu ndo anazaliwa south na kwa sheria za south kuhusu mtoto wao chibu atanyooka wana sheria balaaMtoto wa Kiume wa Taifa. toka salama.
huyu mwanamke ana akili kuliko sunguraHa ha ha ha acha atotoe buanaaa
Watching u in 3D [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kisha afunge kizazi sasa loh! Hobby gani hii
HahahahaaKisha afunge kizazi sasa loh! Hobby gani hii
Ni kiboko kwa kweli.yaaan mwanamke mkakavu huyu kama kuruta anaingiaa leba anacheka kama zile emoji za whtsap zinazocheka mpka zinatoaa machozi
mshiko wa nini na ww yaan unaonea wivu mpka thread jaman maisha haya looh kapost ww basiAsante kwa taarifa. Kapate mshiko sasa
Hicho kitu hakijui, anaangusha tuUyo Zari hanaga uchungu eeh
Hahahayeye kujingua kwake ni simple kama kukanga yai.....unaweza mpa hata gazeti akasoma huku anafyatua
hahahaha upupu puliiiizzzzHicho kitu hakijui, anaangusha tu
ha haahaha eti akasoma gazeti hayayeye kujingua kwake ni simple kama kukanga yai.....unaweza mpa hata gazeti akasoma huku anafyatua
acha ukale ww kuzaa ni mipango sio unzaa unaanza kwenda kuwapanga watoto kwenye mataa kuomba misaada dhambi zake unazijuaa lakin??Huyu ndio mwanamke wa Kiafrika ,sio unazaa kitoto kimoja oh eti kwenda na wakati
Kitoto hicho hicho shetani anamuangalia na Mungu pia
Wewe nae umepotea sana...[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
but why nifah chaaaaaa mwanamke huyu ana mkataba na huko labour kwakweliLabour wards ambassador yupo kazini.
Kila la kheri mama.
Huyu ndio mwanamke wa Kiafrika ,sio unazaa kitoto kimoja oh eti kwenda na wakati
Kitoto hicho hicho shetani anamuangalia na Mungu pia