[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] nitafanya kwa maombi si kwa utashi binafsiHaahaaaaa, wewe nae umenichekesha, kama haikupendezi si unaweza kumfunga wewe kitaalam mkuu?!
AnafyatuaMwache ajaze dunia,aepuke na magonjwa mengine ya nzao chache
UchocheziMuulize wema
Tofautisha kati ya mijadala na mitazamoUsimpangie maisha wewe kwani unazaa ww au yeye na unasaidia kulea!? Watz bhanah sijuh tukoje
[emoji15] [emoji15] [emoji115]Huo ndo uanamke babu
[emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji115] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Acha wanga mkuu!
Tumeaswa tuzaliane ili tuujaze ulimwengu!
Mama chibu, kiumbe tutakipokea kwa roho safi! bado tena na tena na tena mpaka mayai yaishe!!!
[emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji87] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji7] [emoji7]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] shekeli na kighwidi vinaruhusu, pesa + kiuno =kufyatuaBado mtoto mmoja,jamaa anataka kutoa droo au goli la ushindi
wazo zuri, je wote wakiwa majambazi au mashoga au malaya au unemployed au wajinga hawataki kujtuma? ila Malezi Fumbo GumuZamani tulikuwa tunaambiwa Diamond ni freemasons, na ukiwa member wa freemasons huwezi/huruhusiwi kupata mtoto. Sasa mpaka leo najiuliza Jay Z ni freemasons ana watoto, Chrisbrown nk
[emoji117] Hongera Zaribosslady na Diamond Platnumz kwa kupata mtoto.
-*Raha sana kuwa na watoto wengi, mfano ukiwa na watoto 10 akafariki mmoja basi angalau hakuna ubaya wamebaki 9. Kuliko kuwa na mtoto mmoja au wawili ukapoteza mtoto mmoja utabaki na majonzi na masikitiko sana kwa maisha yote mpaka kifo.
Bro Hajui Kuwa Rasta Nyoka Rafiki Yako, ngoja niwe mpatanishi msamehe buree mkuuHatuzungumzii kwetu wala mama yangu kwakuwa habari zetu hazijawahi kuwekwa hapa! Naomba usirudie tena kumtaja mzazi wangu hapa kwenye ishu asiyoijua wala kuhusika nayo
[emoji23][emoji23]au huwa hateseki sisi wengine ni kero kutapika,kula ni shida kuugua ndio kuugua mwanzo mwisho kwakweli anajitahidKisha afunge kizazi sasa loh! Hobby gani hii
[emoji23][emoji23]hana jipya sasa amekuwa mdogo kama piritonDah yule dada anaesingiziaga mimba imetoka coz of mawazo sijui atakuja na kick ipi tena
Huyu ni mtoto wa dancer wa mondYani mtoto kazaliwa saa hii yuko hivi?
Kuwa nao ni raha ila kuwafikisha sasa ni mzikiiZamani tulikuwa tunaambiwa Diamond ni freemasons, na ukiwa member wa freemasons huwezi/huruhusiwi kupata mtoto. Sasa mpaka leo najiuliza Jay Z ni freemasons ana watoto, Chrisbrown nk
[emoji117] Hongera Zaribosslady na Diamond Platnumz kwa kupata mtoto.
-*Raha sana kuwa na watoto wengi, mfano ukiwa na watoto 10 akafariki mmoja basi angalau hakuna ubaya wamebaki 9. Kuliko kuwa na mtoto mmoja au wawili ukapoteza mtoto mmoja utabaki na majonzi na masikitiko sana kwa maisha yote mpaka kifo.