Updates: Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kwa Taifa

Picha?!
 
Tukutane barabarani
 

Attachments

  • IMG-20240113-WA0127.jpg
    203.8 KB · Views: 3
Mkuu Molemo, nakukumbusha tuu kumbe wewe ni muongo!. Siku ile uliponiponza nikala ban, ubishi ulikuwa hiyo ofisi yenu ya Ufipa kuwa ni nyumba ya kupanga, ukajitutumua kuwa Chadema wamepanunua kumbe ni uongo, ile ni nyumba ya kupanga mpaka kesho na Baba mwenye nyumba nimetajiwa!.

Sasa leo umekuja na makidai kuhusu ofisi mpya ya Chadema Mikocheni!, kumbe ni nyumba ya kupanga!, na baba mwenye nyumba nimetajiwa na kodi ya pango pia imetajwa!. Kiukweli kama hii Hongera Chadema kuwa wapangaji nyumbani kwa Mbowe Mikocheni ni kweli, then Chadema needs their heads seriously be examined!.
p
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…