HAKUNA KUSTAAFU HAPA MPAKA TUWE NA KATIBA AMBAYO RAISSIYO MUNGU NA HIVYO HAWEZI KUUA UPINZAIA KAMA SHETANI JIWE ALIVYOKUWA AMEAPANi vigumu kustaafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAKUNA KUSTAAFU HAPA MPAKA TUWE NA KATIBA AMBAYO RAISSIYO MUNGU NA HIVYO HAWEZI KUUA UPINZAIA KAMA SHETANI JIWE ALIVYOKUWA AMEAPANi vigumu kustaafu
Kwahiyo hamtashiriki uchaguzi mkuu?HAKUNA KUSTAAFU HAPA MPAKA TUWE NA KATIBA AMBAYO RAISSIYO MUNGU NA HIVYO HAWEZI KUUA UPINZAIA KAMA SHETANI JIWE ALIVYOKUWA AMEAPA
chama kitaamuaKwahiyo hamtashiriki uchaguzi mkuu?
Picha?!Ni asubuhi Tulivu yenye mvua kwa maeneo mengi katika Jiji la DSM
Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema Freeman Mbowe anazungumza na Taifa muda mchache ujao.
Ni siku ya Kihistoria kwani Feeman Mbowe anazungumza na Taifa kupitia makao makuu mapya ya chama eneo la Mikocheni Jijini DSM.
Ni makao makuu mapya na yanayoendana na ukubwa wa chama hiki chenye mvuto kwa mamilioni ya Watanzania.
Ni makao makuu mapya yanayoonesha uongozi thabiti na mahiri wa mwanamapinduzi Freeman Mbowe ambaye uongozi wake unahitajika bado kwa miaka mingi ijayo ndani ya chama hiki kinachokiweka roho juu CCM.
Sisi wa Molemo Media tutakuwa Mubashara kuwaletea kila kitakachojiri.
Karibuni sana....
Updates....
Hali ilivyo sasa Makao Makuu Saa 5.30 asubuhi
Kwa muda huu hapa Makao makuu Mikocheni kumefurika umati mkubwa wa wanachama hususan kutoka Kanda hii ya Pwani pamoja na viongozi mbalimbali wa ngazi zote.Pia kuna idadi kubwa ya wanahabari wa vyombo vyote
Maandalizi yote muhimu yamekamilika na kilichobaki na kumsubiri Mwenyekiti Freeman Mbowe na viongozi wenzake wakuu wa chama.
Unaakisi kinachokusumbua lete jina la huyo mume aliyekupachika akakumkimbia!Lazima mimba yako itafute ukwaju
Hongera sn CHADEMAOfisi mpya
Mkuu Molemo, nakukumbusha tuu kumbe wewe ni muongo!. Siku ile uliponiponza nikala ban, ubishi ulikuwa hiyo ofisi yenu ya Ufipa kuwa ni nyumba ya kupanga, ukajitutumua kuwa Chadema wamepanunua kumbe ni uongo, ile ni nyumba ya kupanga mpaka kesho na Baba mwenye nyumba nimetajiwa!..Ni siku ya Kihistoria kwani Feeman Mbowe anazungumza na Taifa kupitia makao makuu mapya ya chama eneo la Mikocheni Jijini DSM.
Ni makao makuu mapya na yanayoendana na ukubwa wa chama hiki chenye mvuto kwa mamilioni ya Watanzania.
Ni makao makuu mapya yanayoonesha uongozi thabiti na mahiri wa mwanamapinduzi Freeman Mbowe ambaye uongozi wake unahitajika bado kwa miaka mingi ijayo ndani ya chama hiki kinachokiweka roho juu CCM.