. Sasa hapa sijaelewa, hii ni ndondo Cup imebadilishwa jina au michuano mipya?Wakuu huu ni uzi maalumu kwa ajili ya michuano ya Kivumbi Cup 2020 chini ya Wasafi Media.Kuna team 32 Zilizopangwa group A-F.Leo ni ufunguzi ikianza mechi kati ya KAUZU Fc dhidi ya BUGURUNI UNITED..Tupeane updates hapa za matokeo ya kila mechi na vipaji vinavyooneshwa ili kufungua njia kwa vijana wetu katika soka la kulipwaView attachment 1379980
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii michuno mipya ipo chini ya WASAFI media,ndondo cup ipo chini ya CLOUDS media. Sasa hapa sijaelewa, hii ni ndondo Cup imebadilishwa jina au michuano mipya?
Weka picha za matukio mi nipo nanjilinji hukuHii michuno mipya ipo chini ya WASAFI media,ndondo cup ipo chini ya CLOUDS media
Sent using Jamii Forums mobile app
Kauzu kashinda goal 3 kwa 1Bila shaka huenda kauzu wameshinda.Je,mashindano haya yan kiingilio au bure?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kauzu kapiga mpira mkubwa Sana.
Sana mkuu,wanaweza wakaongoza group AKauzu kapiga mpira mkubwa Sana.
Kiingilio kipo maana mechi zipo chini ya shirikio la soka Temeke(TEFA)Bila shaka huenda kauzu wameshinda.Je,mashindano haya yan kiingilio au bure?
Sent using Jamii Forums mobile app