Fasta fasta
JF-Expert Member
- Feb 15, 2011
- 1,125
- 725
Imenibidi nicheke! Akili inacheza na akili. Wanamchokoza papa sio.Hii serikali nadhani haiwajui vizuri hawa Katolic soon watanyolewa bila maji. hawa majasusi wa vatcan ni hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imenibidi nicheke! Akili inacheza na akili. Wanamchokoza papa sio.Hii serikali nadhani haiwajui vizuri hawa Katolic soon watanyolewa bila maji. hawa majasusi wa vatcan ni hatari sana
Mungu atuepeushie hiliUkiingia kwenye upande wa kuonea watu hua hakuna mwisho
Ni kama kula nyama ya mwanadamu
Leo kaanza na Chadema,shika kidogo peleka kituoni,hapa na pale
Inakuja kuvunja miguu,hapa na pale
Inakuja kuua.....
Baada ya hapo Chadema,atafata NGOs,wanaharakati,wana CCM wenzake,mawaziri wenzake,etc
Baada ya hapo ataenda nchi jirani kutafuta vita,hapo ndio anashikwa anachinjwa yeye
Yes Mimi pia, Apunzike anapostahili RPC Tanga 2000yrs Mama Faith, alinisaidia sana kuninyima nafasiAhsante Mungu kwa kuniepusha na kazi ya upolisi. Awali nilivyomaliza kidato Cha SITA sikuhitaji hata kwenda chuo. nilikuwa napenda sana hii kazi. Lakini kwa kuwa Mungu hakutaka niikose mbingu, ameuzuia mguu wangu usipige hatua kuelekea kwenye kazi iliyogubikwa na dhambi za Kila namna na Kila aina ya laana, ubugabire na kutokutumia akili zaidi ya kutumwa tumwa 24/7 kufanya ufala
Acha upoyoyo!Askofu Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya Wana Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula.![]()
Je hiyo kanisa waumini wanawajibika kutaja vyama vyao?
HakikaHuu utaratibu wa kuajiri watu kuwa plsi kwa kuangalia uwezo mdogo wa akili unaligharimu Taifa.
Tubadilishe mfumo, mtu akitaka kuajiriwa awe ni yule ambaye IQ yake siyo below average.
Ndiyo, walikuwa wamevaa sare za chama.Kwani kuna sheria wamevunja kwa kwenda kanisani wakiwa wamevaa sare za chama?Taifa huongozwa kwa mujibu wa katiba na sheria na wala siyo kwa mujibu wa hisia za watu au matamanio ya watu.
Wanzagi- sikutegemea CHADEMA kuonyesha ujinga wa kiasi hiki. Mnachotaka ni kulichonganisha Kanisa hasa RC na KKKT na serikali na waumini ambao siyo CHADEMA- tunajua wakristo hupenda kuleta chokochoko pale ambapo nchi inakuwa na rais ambaye si Mkristo SASA MMEANZA.- NI UJINGA MTUPU MNAOFANYAWakuu, nimepata hii updates ila kwa kweli hata kama Polisi wetu wanatumwa basi at least watumie hata akili. Why wanalazimisha kujenga chuki isiyomithilika kwenye jamii?? Was it necessary?
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi na baadhi ya Askari Wanyama pori wanaozea gerezani kwa kufanya mauwaji Kanisani. anyways wacha niwape updates
Updates
Makamanda, habari za muda huu. Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo.
Walioko lock up ni Katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, Katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.
Baada ya kumuona OCD asubuhi ya leo, alitwambia kuwa wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa.
Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Kwande.
Askofu Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya Wana Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula.
Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema.
Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani.
Baba askofu katupa msaidizi wake tukaenda naye Kirumba na ameongea na OCD, sasa ocd kageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerlad Joseph. Msaidizi wa Askofu kawasiliana naye na sasa Askofu amemtuma katibu wake Padre Nyanda, tunaendelea kumsubiri hapa kirumba.
Msimamo wetu ni:
1. Wawaachie wote bila masharti ya dhamana.
2. Au baba Askofu akawadhamini waumini wake.
Wanzagi
Lazima itakuwa wame play victims...Kwanini wawe CHADEMA kanisani na siyo waumini kanisani? Ebu acheni kuvuruga nchi nyie watu.Miongoni mwao kuna Wazee wa miaka 69, 70, 75
Siamini kama Jeshi la Polisi linakosa weledi kiasi hiki! Yaani ni kweli hakuna Polisi hata mmoja mwenye akili timamu za kufanya maamuzi sahihi?
Jeshi letu halina Washauri? Hakuna Wazee? Hakuna systems? Hawana miongozo? Wao wanachojua ni kukamata tu! Kweli?
Hawa ndugu wameamua kuvuruga nchi bila kujali chochote.Wanzagi- sikutegemea CHADEMA kuonyesha ujinga wa kiasi hiki. Mnachotaka ni kulichonganisha Kanisa hasa RC na KKKT na serikali na waumini ambao siyo CHADEMA- tunajua wakristo hupenda kuleta chokochoko pale ambapo nchi inakuwa na rais ambaye si Mkristo SASA MMEANZA.- NI UJINGA MTUPU MNAOFANYA
Imagine wanasiasa kulalamikia waumini walioko kanisani....Hawa watu wana agenda ya siri nadhaniBado umeandika kiharakati zaidi.
Walenda kanisani wamevaa sare?
Kwli mkuu halafu viongozi wa RC na KKKT wanwachekea tu.Hawa ndugu wameamua kuvuruga nchi bila kujali chochote.
Acha ujinga basiLazima itakuwa wame play victims...Kwanini wawe CHADEMA kanisani na siyo waumini kanisani? Ebu acheni kuvuruga nchi nyie watu.
Mnashabikia upuuzi wa Polisi? SawaKwli mkuu halafu viongozi wa RC na KKKT wanwachekea tu.