Updates: Kukamatwa kwa Wanachama wa CHADEMA Kanisani Mwanza

Kwanini wasifute mfumo wa vyama vingi, kuliko kuwadanganya Wafadhili na Wahisani wa Magharibi kuwa kuna Demokrasia, kumbe ni hadaa ili waendelee kujaziwa bakuli lao kwa njia ya utapeli wa kimataifa.

Shame on them!
 
Hizi mambo za kijinga hivi ndio huwa zinapelekea kuwepo kwa waasi.

Ccm inajinadi imefanya mambo mengi kwanini viongozi wake hawajiamini namna hiyo. Hovyo kabisa
 
Tuleteeni video za hayo mahojiano ya POLICE na ya OCD ili na sisi tujue pa kusimama na watanzania wenzetu

Kwa maneno haya matupu ni ngumu kuamini sababu CHADEMA NI KIWANDA CHA KUTENGENEZA UONGO
 
Ahsante Mungu kwa kuniepusha na kazi ya upolisi. Awali nilivyomaliza kidato Cha SITA sikuhitaji hata kwenda chuo. nilikuwa napenda sana hii kazi. Lakini kwa kuwa Mungu hakutaka niikose mbingu, ameuzuia mguu wangu usipige hatua kuelekea kwenye kazi iliyogubikwa na dhambi za Kila namna na Kila aina ya laana, ubugabire na kutokutumia akili zaidi ya kutumwa tumwa 24/7 kufanya ufala
 
Mungu atuepeushie hili
 
Yes Mimi pia, Apunzike anapostahili RPC Tanga 2000yrs Mama Faith, alinisaidia sana kuninyima nafasi
 
Acha upoyoyo!
 
Huu utaratibu wa kuajiri watu kuwa plsi kwa kuangalia uwezo mdogo wa akili unaligharimu Taifa.

Tubadilishe mfumo, mtu akitaka kuajiriwa awe ni yule ambaye IQ yake siyo below average.
 
Huu utaratibu wa kuajiri watu kuwa plsi kwa kuangalia uwezo mdogo wa akili unaligharimu Taifa.

Tubadilishe mfumo, mtu akitaka kuajiriwa awe ni yule ambaye IQ yake siyo below average.
Hakika
 
Ndiyo, walikuwa wamevaa sare za chama.Kwani kuna sheria wamevunja kwa kwenda kanisani wakiwa wamevaa sare za chama?Taifa huongozwa kwa mujibu wa katiba na sheria na wala siyo kwa mujibu wa hisia za watu au matamanio ya watu.

Duniani ukiwa na maarifa hutoangamia.
Hao wamekosa maarifa ndio maana wanaangamia kwenye mikono ya polisi.
Hiyo katiba mpya itaondoa vipi ujinga wa watanzania?
 
Wanzagi- sikutegemea CHADEMA kuonyesha ujinga wa kiasi hiki. Mnachotaka ni kulichonganisha Kanisa hasa RC na KKKT na serikali na waumini ambao siyo CHADEMA- tunajua wakristo hupenda kuleta chokochoko pale ambapo nchi inakuwa na rais ambaye si Mkristo SASA MMEANZA.- NI UJINGA MTUPU MNAOFANYA
 
Reactions: Ame
Lazima itakuwa wame play victims...Kwanini wawe CHADEMA kanisani na siyo waumini kanisani? Ebu acheni kuvuruga nchi nyie watu.
 
Hapa chama kinatafuta kuunganisha Dini na Siasa ILI kuongeza uungwaji mkono tatizo walichokosea ni kuwatafuta hata wasio waumini wa dhehebu usika ajabu Waislamu na wasabato kuingia kanisani huku wakijifanya ni wakatoliki Dini Yao haiwaruhusu kwani Kuna tofauti kubwa za kiitikafi.

Chondechonde Dini iachwe
 
Hawa ndugu wameamua kuvuruga nchi bila kujali chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…