Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Duuh! usiku wa manane thread imefika page two!! hadi mda wa mkutano itakuwa ya ngapi?!!
Hii ndio ukawa mpango mzima
 
Habari Wanajamvi.
Leo ndio ile siku inayosubiriwa kwa hamu hapa Mkoani Arusha, pale ambapo mgombea wa Urais kwa tiketi ya Ukawa Ndugu Edward Lowassa atakapotambulishwa rasmi mkoani hapa.

Hakika maandalizi yamekamilika kwa asilimia 100%, Mkutano huu pia utashuhudia maelfu ya wanachama wa ccm mkoani hapa wakirudisha kadi zao na kuhamia rasmi Chadema.

Makamanda karibuni ili tupeane updates na kujulishana kile kinachoendelea.

Updates:
Baadhi ya wanachama wamepiga kambi karibia na KIA ili kupata fursa ya kujumuika vizuri hapo baadae.

Boss unaonaje ukaweka namba ya WhatsApp kwenye post yako namba 1 ili watu wakawa wanakutumia picha unazipandisha hapo... Naamini mtu mmoja hutaweza kupata picha zote mwenyewe...
 
Kwa huu upepo wa kisiasa unavyovuma nchini hivi sasa, naamini hadi ifikapo Oktoba 25 mwaka huu yanaweza yakawa yametokea maafa kadhaa ya wahanga wa pressure.

Maana hii CDM inachofanya hivi sasa ni kutaka sifa, yaani wakati maccm bado yanaugulia maumivu makali sana ya ile nyomi ya 'kufa mtu' kule Mbeya, leo tena mmepania huko Arusha kulisimamisha kabisa jiji la Arusha.
 
Asifanye kampeni kabla ya muda tusije tukamkata
 
Back
Top Bottom