Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Duuh! usiku wa manane thread imefika page two!! hadi mda wa mkutano itakuwa ya ngapi?!!
Hii ndio ukawa mpango mzima
 

Boss unaonaje ukaweka namba ya WhatsApp kwenye post yako namba 1 ili watu wakawa wanakutumia picha unazipandisha hapo... Naamini mtu mmoja hutaweza kupata picha zote mwenyewe...
 
Kwa huu upepo wa kisiasa unavyovuma nchini hivi sasa, naamini hadi ifikapo Oktoba 25 mwaka huu yanaweza yakawa yametokea maafa kadhaa ya wahanga wa pressure.

Maana hii CDM inachofanya hivi sasa ni kutaka sifa, yaani wakati maccm bado yanaugulia maumivu makali sana ya ile nyomi ya 'kufa mtu' kule Mbeya, leo tena mmepania huko Arusha kulisimamisha kabisa jiji la Arusha.
 
Hii sasa sifa, kila siku maccm yanapigwa. Leo ndio leo, CCM inafutwa kabisa
 
Asifanye kampeni kabla ya muda tusije tukamkata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…