laurence masha anakabidhiwa kadi na mbowe
daniel porokwa - katibu wa ccm manyara
robinson mwenyekiti wa uv ccm arusha
sioi sumari
mafuriko ya arusha yamewazoa na kuwatakatisha.
ccm ni nambari one, mafuriko ni upepo tu utapita
Waliojiunga na CHADEMA:
Laurence Masha anakabidhiwa kadi na Mbowe
Daniel Porokwa - katibu wa ccm Manyara
Robinson Mwenyekiti wa uv ccm Arusha
Sioi Sumari
Yona Nko aliyekuwa mkiti ccm mkoa Arusha
Mgombea ubunge Simanjiro
Goodluck Sipira katibu wa ccm Arusha anatokea Longido
Wazee wa kimila wa kimasai nchi nzima
Wazee wa kimila wa kimeru wote wakiongozwa na Mshili Mkuu
Gari la taka limeandaliwa uwanjani kwa ajili ya kutupia kadi za ccm
Wazee wa kimila wanamvika uchifu Mh Lowassa
Lau Masha:
Maamuzi magumu yamefanyika hivi leo, lakini ni maamuzi muhimu, sitaongea leo, nitangaze tu kwamba nimejiunga rasmi chadema
Robinson m/kiti uvccm:
Wale Wakristo kuna wimbo unaosema Nimetoka kwa Farao misri sirudi tena.
Kuna kijana moja kazi yake ni kuongea uchafu, anasema oil chafu, anasahau oil chafu ndiyo inayoendesha mitambo.
Anasema Ufalme ukianguka sheria haina budi kubadilika.
Nataka niwaambie tunazijua mbinu zao zote, waandike maumivi maana ikulu tunaenda maana inatuhusu.
Lowassa anasema tumechoka na umaskini, tunakwenda kuwasaidia vijana kuhusu ajira.
Watanzania tuna fimbo yetu ya kuwapiga ccm, nayo ni kadi ya kupiga kura
Ole Medeye:
Anaimba kuwa Mwambie Kikwete nimezinduka, ccm sirudi tena.
Nimejitoa ccm kwa sababu mbili kuu, ya kwanza dhuluma imezidi ndani ya ccm, wanaapa kinafiki kuwa watailinda katiba ya nchi wakati wanaivunga, pili rushwa imekithiri katika taifa hili, nilifikiri kupitia ccm ningeshiriki kupiga vita rushwa, lakini matokeo yake kumbe niliowaamini kupiga vita rushwa ndiyo wanaotoa rushwa.
Hivyo nimejiondoa ccm ili tuweze kurudisha maadili ya nchi
Subiri kampeni zianze.....!! UKAWA mmetangulia na baskeli ya mti......
Hivi Sioi bado alikuwa CCM? Masha alishinda kura za maoni kule Sengerema kweli?Breaking news from Arusha
Waliojiunga na CHADEMA:
Laurence Masha anakabidhiwa kadi na Mbowe
Daniel Porokwa - katibu wa ccm Manyara
Robinson Mwenyekiti wa uv ccm Arusha
Sioi Sumari
Yona Nko aliyekuwa mkiti ccm mkoa Arusha
Mgombea ubunge Simanjiro
Goodluck Sipira katibu wa ccm Arusha anatokea Longido
Wazee wa kimila wa kimasai nchi nzima
Wazee wa kimila wa kimeru wote wakiongozwa na Mshili Mkuu
Moto wa mabua tuu huu!
Haunguzi hata handkerchief
Kumuona na kumpigia kura lowassa ni vitendo viwili tofauti""" umati wa watu sio tiketi ya lowassa kuwa rais,,, kaa ukijua tanzania ni kubwa sana na tuko zaidi ya 15 mil tuliojiandikisha,, je huo umati ni asilimia ngapi ya waarusha waliojiandikisha?? Vipi huo umati ni wangapi wana sifa za kupiga kura,, je huo umati unawageni wangapi ambao waliokuwa dar mbeya na leo ARusha?? Mabadiliko yanahitaji watu wenye dhamira ya dhati,,
chadema kimeshakuwa chama cha makapi ya ccm
Masha ni hasara. Ila ndo hivyo tena.
Atafata Karamagi kesho Mwanza, then Rostamu kisha Manji afu mchezo unamalizwa na JK kumchinjia baharini makomeo....
Jamaa wamejipanga kurudi kupitia mlango wa Chadema. Aibu!!
Subiri kampeni zianze.....!! UKAWA mmetangulia na baskeli ya mti......
Karibu sana cdm, hata hivyo chadema mna kazi pia ya kuchukua tahadhari ya kutambua na kuchuja mavumbi na papasi watakaoingia ndani wakati mnapofungua madisha ili kuruhusu hewa safi kuingia ndani. tayarisheni nyavu zenu za madirisha, vitambaa vya kufutia vumbi na dawa za kuulia wadudu mapema. Sio wote watakaomwita bwana bwana watauona ufalme wa mbinguni.Laurence Masha anakabidhiwa kadi na Mbowe
Daniel Porokwa - katibu wa ccm Manyara
Robinson Mwenyekiti wa uv ccm Arusha
Sioi Sumari
Mafuriko ya arusha yamewazoa na kuwatakatisha.
Wote wamekatwa hao.mi nasubiri mtu kama pinda au gharib,Lau masha?mizigo tu ya misumari hiyo
Baiskeli yenye magurudumu ya barafu, jua likiwaka magurudumu yanayeyuka na safari inakuwa na mwisho.Subiri kampeni zianze.....!! UKAWA mmetangulia na baskeli ya mti......