Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA


Lowassa ni mwiba kwa kila mwana CCM
 

Tofauti ya hiyo ya Lowassa na hii chini ya JK ni nini?

 
Wamasai hawana matambiko,bali huo ni utaratibu wa kumpa cheo kikubwa cha kijamii juu ya laigwnani wote wa tanzania.
 

Umechanganyikiwa mpaka umeamua kugoma kufikiri.

Hivi.kakodisha magari mangapi kwa shilingi ngapi ili ajaze watu wote hapo!!!???????
 
Chadema na viongoz wake napinga maneno yenu ya kejeli na matusi kwa Rais wa jamuhur ya muungano wa Tz na Rais wa mapinduz Zanzibar. Huna chakusema ktk sera zako kaa kimya ikumbukwe wao ni viongoz na kama kunajambo walienda kinyume na taratibu jamuhuri yenyewe itaamua sawa sawa na sheria zetu. Tuwaache viongoz hawa wamalize kwa amani maana watabaki kuwa viongoz nakulindwa mpaka mauti usijesema ukujuwa. Asante
 
Kejeli ni jadi ya siasa ya Tanzania. Ukiwa upande wa kukejeli inafurahisha sana ila ukiwa upande wa kukejeliwa huuma sana.

Ila ikiweza kubadilika itakuwa poa sana. Tukiweza kulist statements za kejeli from both sides itasaidia. Mradi uwe fair.
 
Ukitaka Rais asisemwe majukwaani mwambie naye akiwa ikulu kwenye ofisi ya umma inayobeba nembo ya utaifa wa watanzania wote asifanye vitendo vya kibaguzi vya kumpigia kampeni mgombea wa chama chake. Kama anayafanya kama m/kiti wa chama chake basi na wapinzani watamsema kama Rais wa chama chake
 

Ametuita wapinzania MABUA,sasa nenda kamwambie nyumba yake inaungua moto,kosa ni yale mabua matano aliyowasha mwanae akichoma Mchwa,halafu mwambia Nape Oil Chafu ni dawa ya Mchwa....

Akitaka kuheshimiwa aheshimu wenzake.............
 

Chadomo hawana sera kabisa, sera yao ni maji taka.
 

Endelezeni ushindani wenu eti kisa kafanya acha na mie nifanye ...usije pasuka msamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…