Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,548
- 63,038
CCM hamjui hesabu kabisa !sio kila atakae hamia chadema atapewa nafasi ya kuongoza lkn hao watakiwa wapiga kula ili tukiangamize ccm :kwa hesabu ya haraka mtu mmoja akiamia chadema akawa kashawishi ndugu wa kalibu na familia yake plus mafiki zake = 1×50=50
je ktk jimbo wakihama watu 100 jumla itakuwa 5000
je kwa nchi nzima ?
Hii hesabu umesomea juu ya mpapai eeh ..?
Ndoto zinginee !! Kwi kwi kwi!