Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Kwa nilivyochoka leo hata siogi nalala hivyo hivyo na vumbi langu kesho ndo ntafanya mchakato wa kupiga maji.
 
Mkuu naona unajitahidi kupambania chama lako. hongera kwa kutekeleza wajibu wako

Buku 7 at work!
asikupe shida unajua hata matatizo ya ndani ya nyumba wanaonaga majirani waliopo ndani huwa wanaona sawa tu!
 
Una ukimwi unajipa moyo utapona..?

Magufuli unasema msafiii....? Wee Warthog kweli...!!!! 
Afadhali manake huyu jamaa leo sijui kanywa maji ya nini amejaa matusi hadi kidoleni. Nilidhani Mods wapo likizo kumbe wapo
 
Nilikuwa bize na kazi sikuona hii kitu.

Ccm imekufa nikiona.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Edward Ngoyai Lowassa.
 
Mapema jana
 

Attachments

  • 1439673923778.jpg
    1439673923778.jpg
    51.8 KB · Views: 322
Mapepo ya CCM yanatolewaaaaaa leooo...🐛...🐍🐍🐙🐙👿👿👿
Tokaaaa pepooo la CCM, tokaaa ktk jina la Lowassaaaaa tokaaaaaaa tokaaaaa 👿👿👿🐙🐙🐛🐛🐍🐍CCM...waache wana wa Mungu...waache tembo wetu tokaaa..🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘

Pepo tokaaaa ktk jina la UKAWA....pepo CCM tokaaaaaaa....tokaaaaaaaaa🐙🐙🐙🐛🐛🐍🐍


Pepo CCM ktk jina la Lowassa tokaaaaaaa...pepo la kijaniiiii 🐙🐙🐙🐛🐛🐍🐍tokaaaaaaa....

Ktk jina la Lowassa pepo CCM tokaaaaaaaa.... waache watanzania...waache watu wa Mungu...shindwa...🐙🐙🐙🐙🐙🐍🐍🐍🐍🐍🐍

Kuna watu bado kama 5% wana pepo la CCM limewakamata kweli...ila Lowassa akiwafikia litawatoka...!!!

Pigeni Sana kelele ila kura tunaiba mchana kweupe na msukuma atakuwa ikulu....

For yo info:

Nape hakuropoka kuwa Goli la mkono lipo kwa kubuni....Lipo na lishaandaliwa...

Pepo mwenyewe . . mshssss
 
Back
Top Bottom