vexozanzhu
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 503
- 615
Hapa ni kukomaa na Vifusi na mitaro ya maji kwa muda,Maeneo haya kila mwaka.ni kawaida kujaa maji..... Plus na pamba house kule imalaseko
Bila kusahau cbe
Ila hakuna jitihada zozote miaka na miaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mradi umetengwa dola mil100 kwa kuboresha mto msimbazi,nadhani upo karibu kuanza kwa mujibu wa taarifa za mitandao.