google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Wanasema kishindo cha awamu ya tano. TunatekelezaKwani WAPUMBAVU wa Magufuli, MaCCM yanasemaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema kishindo cha awamu ya tano. TunatekelezaKwani WAPUMBAVU wa Magufuli, MaCCM yanasemaje.
Bi mkubwa umehama lini Masaki?Mbagala niliyopo imenyesha nje kumelowa ndembendembe... nimerudi kitandani kujilaza nimejigubika blanketi bwiiii.
Naperuuuzzzzzz na Kudaaadiiiizzzzzz
Wanaoleta uzi si viongozi ni wananchi wa maeneo husika, kama wana Tanga na Moro hawakuleta uzi nani atawaletea ?Tanga Moro mvua zilileta maafa na sikuona uzi humu, kwanini dar, hata umeme ukikatika, tunaona uzi humu!
Paris,London,New York ndio Majiji Dar haina hadhi ya kuitwa jiji ni kitongoji miaka 50 hata Urban planning inatushinda,sioni faida ya kuwa na chuo cha ardhiMliopo jijini mjulisheni mwenzenu
Ndio ww hiii radi haifai utafkiri sijui nn kinaanguka sijahi skia ya namna hiii
Mmmmmhhhh Kumbe kijana wa gamboshi sintosahau rfa asimulia ukweli!! Ukiguswa na maji unakufaAmini usiamini wachawi wana kipindi kigumu sana
Unaweza ukadhani nazungumzia ukata wa kipindi hiki au pengine kupungua kwa wateja la hasha! Kuna sababu nyingine tofauti kabisa na hizi. Mchawi na mitunguli yake yote na nguvu zake zote kiboko yake maji, yani hakuna tofauti na kitu cha umeme kisivyopatana na maji. Tunguli na maji ni vitu...www.jamiiforums.com
Jr[emoji769]
Jf ni ipo Dar es salaam, ni kawaida kuripoti yanayotukia jijiniTanga Moro mvua zilileta maafa na sikuona uzi humu, kwanini dar, hata umeme ukikatika, tunaona uzi humu!
Sasa dar unaweza kuifananisha na mkoa wowote Tz hii?Wazee wa "dar mzunguko wa pesa mkubwa sio kama mikoani"vipi leo hapo jangwani mmepita na boti au ndege? Shwaain mnajikuta kama mnaoshi new york kumbe mnaishi matopeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata inyeshe ya elfu 10 Dodoma hakuna mafuriko na bia zinashuka vizuri sana ,muhudumu muulize Bubu kama kuku imeiva [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dodoma Kuna mvua kubwa Sana...
Ila umeme upo na Hakuna mafuriko ....
Sent using Jamii Forums mobile app