Vigwaza utafikaje akati barabara zinajaa maji?yaani kuna watu sijui wana roho ya shetani ndani mwao, mvua kunyesha si ni neema, badala ya kwenda kushika mashamba vigwaza na kulima anaanza tena kuilalamikia mvua, mvua inanyesha maji yanatiririka yanaenda zake baharini unaendelea na shughuli zao shida nini? kwani waliambiwa sasa dar imekuwa ziwa natron?
Kuanzia waanze kuuimba huo wimbo mtoto keshazaliwa yupo la kwanza sasaHapa ni kukomaa na Vifusi na mitaro ya maji kwa muda,
Kuna mradi umetengwa dola mil100 kwa kuboresha mto msimbazi,nadhani upo karibu kuanza kwa mujibu wa taarifa za mitandao.
Wakiambiwa vilaza watasema wameonewaMiradi mingi kabla haijaanzishwa kama ni ujenzi wa madaraja au miferji mikubwa ifanyike tafiti yakusuluhisha kero mbalimbali, unakuta mradi unatumia hela nyingi lakini kero inatatuliwa kwa sehemu tu.
Labda ile MV nanihii irudishwe na kufanya shughuli za hapo mjini.
Hapo ndio mahali watu wengi hawajapaona. Matatizo makubwa ya Dar ni mipango mibovu na sio majanga ya asili.Ifike wakati tutofautishe kati ya mafuriko ma maji kuzagaa mtaani, haya ya mfugale sio mafuriko ni uwezo wa makandarasi ulipofikia, kaenda kuzuia njia ya maji kupita
Sent using Jamii Forums mobile app
Hopeless. Hiyo ndio 'justification' ya kuhamia Dodoma?Kwa mawazo namna hii sidhani nchi hii kama itafanikiwa kutimiza malengo yake kabla climate change haijawakumba wote. Drainage ya Dar Es Salaam ni kitendawili msione Serikali iliamua kuhamia Dodoma, the issue will destroy a lot of cities worldwide.
Mtu kajifunga kamba miguuno, halafu unasema kuna wanaomkwamisha?Kuna Watu wanahitajika kuongezwa kwenye ile orodha ya wanaomkwamisha Mkulu.
Toka mmelijua neno Arena imekuwa nongwa mjini. Hata Bar/Pub mtaita Arena.WanaYanga shime twendeni tukazibue mitaro tunusuru Uwanja wetu.View attachment 1295178
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama kauli inautata kwa vijana hapa watakutafsiri ndivyo sivyo.
Hopeless. Hiyo ndio 'justification' ya kuhamia Dodoma?