me mwenyewe nimoja Kati ya wahanga wa hii mvua aisee yaani imeshanirudisha nyuma kwanamna moja ama nyingine
..na viongozi wetu ni chaguo la MUNGU.
Pamoja na Miundombinu mibovu katika Jiji la Dar es salaam lakini Wana Daaslam nyinyi ni Wachafu mnoooooo. Mitaro mnaziba na magunia ya taka, Vyooo Vinatiririsha Uchafu humo humo, Wauza maembe, miwa, mananasi, nguo nk uchafu wao woooote wanatupia mitaroni tuu. Miafrika sijui fyuzi gani haikuungwa vizuri kwenye mabichwa yetu. Then mitaro ikiziba utatuona tunabana pua ooooooh therikali yetuu nyoooo nyoooooo ole wenu watu kama mie tumekosa hata utendaji wa mtaaa hakyanani mgetoa takataka mitaroni kwa meno yenu wachafu wakubwa nyie mxiuuuuuuuuu.
Hahahaah kwa hisani ya majizi ya kijaniInabidi kuvaa miwani ya mbao vinginevyo utajikuta kesho hauna ela ya mkate
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli, Lakini hapo Dar sio kila eneo wanapata mafuriko, kuna maeneo hayo kila msimu wa mvua lazima kufurike na inafahamika sababu ila hakuna hatua zinachukuliwa.
............Kuna raia wanaitwa wakazi wa Mabondeni mafuriko kila msimu.
Nasikia barabara za awamu ya tano nazo hazipitiki wakiti huu wa msimu wa mvua?! Au zilhamishiwa mwanza kwa muda kwenye mapokezi ya ndege ?!Hahahaha yakishuka watatia aibu
Account ya CR7 NINI?View attachment 1295289
Hilo hapo Ni bwawa au barabara?
Kwani Mvua Imeletwa Na Serikali
Kweli kabisaUkweli ni kwamba Dar yotee ni bonde mvua ikipiga y kutosha sehemu nying za Dar hua nimafuriko, still hata wangejenga mitaro mikubwa kivp, still maji yangekua yanajaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mateso makubwa sana. Poleni sana. Muhamie Dodoma.... Makao Makuu ya Chama na Serikali. Mvua ikinyesha maji yanazama muda huo huo[emoji1][emoji2][emoji16]
Sijajenga ndo kwanza napanga ila sihapanga bondeniWakazi wa Dar mkaamua mjenge mitoni kabisa.
.....Tulieni mvune mlichopanda.
Maji huwa haya sahau njia yake wewe yadanganye lakini ipo siku yatakumbuka njia yake