UPDATES: Madhara ya mvua iliyonyesha jijini Dar - Desemba 17, 2019

UPDATES: Madhara ya mvua iliyonyesha jijini Dar - Desemba 17, 2019

Ndiyo maana ikaitwa bongo
Pamoja na Miundombinu mibovu katika Jiji la Dar es salaam lakini Wana Daaslam nyinyi ni Wachafu mnoooooo. Mitaro mnaziba na magunia ya taka, Vyooo Vinatiririsha Uchafu humo humo, Wauza maembe, miwa, mananasi, nguo nk uchafu wao woooote wanatupia mitaroni tuu. Miafrika sijui fyuzi gani haikuungwa vizuri kwenye mabichwa yetu. Then mitaro ikiziba utatuona tunabana pua ooooooh therikali yetuu nyoooo nyoooooo ole wenu watu kama mie tumekosa hata utendaji wa mtaaa hakyanani mgetoa takataka mitaroni kwa meno yenu wachafu wakubwa nyie mxiuuuuuuuuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao kwao kila mkaazi wa hizo sehemu ndani ana mtumbwi wa first aid
Kweli, Lakini hapo Dar sio kila eneo wanapata mafuriko, kuna maeneo hayo kila msimu wa mvua lazima kufurike na inafahamika sababu ila hakuna hatua zinachukuliwa.

............Kuna raia wanaitwa wakazi wa Mabondeni mafuriko kila msimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo wamejenga kwenye mabwawa, ramani hii Hapa
IMG-20191217-WA0113.jpg
 
Hahahaha yakishuka watatia aibu
Nasikia barabara za awamu ya tano nazo hazipitiki wakiti huu wa msimu wa mvua?! Au zilhamishiwa mwanza kwa muda kwenye mapokezi ya ndege ?!
Huwa nasikia barabara, mara flyover mvua ndio hizi, hizo barabara ziko wananchi tupite?!
 
Achana na maccm mashetani na jiwe lao,wao usanii kwao ndio kila kitu,hakuna kitu hapo na ipo siku daraja lenyewe litaja katika msipaamini sana hapo?kinachopitia mikono ya maccm kimelaaniwa. Chakaza,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashangaza sana karibu miradi yote vinajengwa vijimitaru utafikiri ni vya kukusanya maji ya kutoka kwenye gutter! Wahandisi hizo kozi mnaokota? Fizibility stadi mnakula posho tu au mnafanya na analisisi, data colekisheni, mmisha zikolekti mnazianalaiz?

Afadhali ya mbuzi, anakula majani anatengeneza karanga!
 
Back
Top Bottom