Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Rushwa na vitisho vili tawala katika kampeni za kumpata mgombea atakae peperusha bendera ya ccm jimbo la ukonga na hatimaye jerry slaa kubuka kidedea kwa ngazi ya ubunge na Rucas kwa ngazi ya udiwani. hata hivyo imekua furaha kwa chadema wanao amini jery ni mtelemko kama ilivyo ada kwa kuburuzwa kwenye uchaguzi mdogo uliopita.
 
Mkuu kwa Mwakyembe hali ikoje au uliondoka Kyela?
baada ya mchakato wa kura za maoni za cdm kukamilika niliondoka , tetesi zinadokeza kwamba mwakyembe ameshinda maoni ccm , hii ni habari njema sana kwa cdm kyela , tulikuwa tunamtaka sana ulingoni , ni mwepesi kuliko pamba !
 
Wana Musoma mjini wamezoea kwa jina baisikeli yakujifuniza ya Nyerere.Veda Mathayo ameshinda kwenye uchaguzi wa ndani ccm jimbo la Musoma mjini.tukutane October 25✌✌ hapa naona Nyerere hana mpizani kabisaaa..,

Kuna ukweli katika hili mzee..?

Na ndugu yangu Dr. Musuto Chirangi vipi?
 
Matokeo ya watia nia ya Ubunge Jiji la Arusha kupitia ccm yanaonesha kuwa mpambano wa ubunge utakuwa ni kati ya Philemon Mollel(Monaban) kupitia ccm vs Lema kupitia chadema.

Tukumbuke kuwa Monaban ni Team lowassa
 
Matokeo ya watia nia ya Ubunge Jiji la Arusha kupitia ccm yanaonesha kuwa mpambano wa ubunge utakuwa ni kati ya Philemon Mollel(Monaban) kupitia ccm vs Lema kupitia chadema.

Tukumbuke kuwa Monaban ni Team lowassa
Hapo Lema hana haja ya kampeni, asubiri tu kuapishwa
 
Najua leo siku ngumu sana kwa wana CCM.nchi nzima wawalikuwa bize na kigawa rushwa kwaaajili ya kura za maoni please mwenye matokeo so far please
 

Good News
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…