Nakumbuka mwaka wa 1979 mashujaa wetu walipotoka vitani waliripoti kwa mkubwa wao, walitoa taarifa yao yenye maneno machache kwamba "kazi tuliyotumwa tumeimaliza"
Vijana wetu na wamama tuliowatuma baada ya kukabidhiwa kadi za ccm katika ofisi za chama, waliopewa jukumu la kuhakikisha wanampigia kura mgombea tunayetaka kupanda naye jukwaani. Mungu mkubwa wanachama wetu wa chadema wenye kadi za CCM wamerudi kwa furaha, wametupatia taarifa kuwa "kazi waliyotumwa wamemaliza"
Mh. Lema hana haja ya kufanya kampeni tena Arusha, jukumu alilonalo sasa ni kwenda kuwashukuru wananchi wakati anasubiri kuapishwa.
Huyu Monaban ambaye hapa Arusha anajulikana kuwa mbakaji wa maeneo ya wazi kwa kujimilikisha kwa hila tunampiga asubuhi kabla ya misa ya kwanza...
Kamanda umeharibu...
Mwendelezo wa Ccm kuwa Wapinzani wakudumu TanzaniaNakumbuka mwaka wa 1979 mashujaa wetu walipotoka vitani waliripoti kwa mkubwa wao, walitoa taarifa yao yenye maneno machache kwamba "kazi tuliyotumwa tumeimaliza"
Vijana wetu na wamama tuliowatuma baada ya kukabidhiwa kadi za ccm katika ofisi za chama, waliopewa jukumu la kuhakikisha wanampigia kura mgombea tunayetaka kupanda naye jukwaani. Mungu mkubwa wanachama wetu wa chadema wenye kadi za CCM wamerudi kwa furaha, wametupatia taarifa kuwa "kazi waliyotumwa wamemaliza"
Mh. Lema hana haja ya kufanya kampeni tena Arusha, jukumu alilonalo sasa ni kwenda kuwashukuru wananchi wakati anasubiri kuapishwa.
Huyu Monaban ambaye hapa Arusha anajulikana kuwa mbakaji wa maeneo ya wazi kwa kujimilikisha kwa hila tunampiga asubuhi kabla ya misa ya kwanza...
Nakumbuka mwaka wa 1979 mashujaa wetu walipotoka vitani waliripoti kwa mkubwa wao, walitoa taarifa yao yenye maneno machache kwamba "kazi tuliyotumwa tumeimaliza"
Vijana wetu na wamama tuliowatuma baada ya kukabidhiwa kadi za ccm katika ofisi za chama, waliopewa jukumu la kuhakikisha wanampigia kura mgombea tunayetaka kupanda naye jukwaani. Mungu mkubwa wanachama wetu wa chadema wenye kadi za CCM wamerudi kwa furaha, wametupatia taarifa kuwa "kazi waliyotumwa wamemaliza"
Mh. Lema hana haja ya kufanya kampeni tena Arusha, jukumu alilonalo sasa ni kwenda kuwashukuru wananchi wakati anasubiri kuapishwa.
Huyu Monaban ambaye hapa Arusha anajulikana kuwa mbakaji wa maeneo ya wazi kwa kujimilikisha kwa hila tunampiga asubuhi kabla ya misa ya kwanza...
Kigwangala nae vipi kapita
Kapita Leonidas Gama, yule Mkuu wa Mkoa mwenye uwezo mkubwa wa kufanya maamuzi na kusimamia. Ni pandikizi la mtu kama Cptain John Komba. Pale CCM wamelamba dume