Kuna kukatwa pia!
Nilikuwa Iringa wiki zima nimeondoka jana. Uchaguzi ungefanyika jana Msigwa angeshinda kwa zaidi ya 70% sasa sijui kwa miezi na siku zilizobakia na kampeni zitakazofanyika zinaweza kuathiri kiasi gani. Kwa ujumla kumwondoa Msigwa ni vigumu sana almost impossible.
Iringa Msigwa ndio kila kitu na hajawai tokea mbuge kama yeye kamwe n ndhani ccm watakuwa n busara na mapenzi mema na wanairinga wakiacha kusimamsha mgombea iringa ili jembe liendelee kufanya kazi ya wanairinga.
msagatiherry huyo Abedi na siasa haijui maana yeye maslahi yapo mbele . ndio aliyoipotosha ccm 2010 kuwa monica mbega anakubalika kumbe ikawa kinyume so kwa taarifa yako safari hii CCM makao makuu wana watu wao kila jimbo hawadanganyike kwa kuwasikilza watu kama abeid ambayo ni mpotoshaji.
Hakika, naomba mods kama itawezekana, uz huu ukae mpk baada ya 25.10 ili kuthibitisha maneno yangu.
Hii n kutokanana na ccm kumpitisha kipenz cha wanairinga FREDERICK MWAKALEBELA kuwa mgombea ubunge wa jimbo la iringa mjini. Ikumbukwe kuwa 2010 wanairinga walimchagua msigwa kulipa kisasi kwa ccm kwa "kumkata" Mwakalebela na si mapenzi ya msigwa na chadema. Ccm wamelisoma funzo la 2010 na wamewaletea wana iringa mjini mtu wao.
Nawasilisha!
Hakika, naomba mods kama itawezekana, uz huu ukae mpk baada ya 25.10 ili kuthibitisha maneno yangu.
Hii n kutokanana na ccm kumpitisha kipenz cha wanairinga FREDERICK MWAKALEBELA kuwa mgombea ubunge wa jimbo la iringa mjini. Ikumbukwe kuwa 2010 wanairinga walimchagua msigwa kulipa kisasi kwa ccm kwa "kumkata" Mwakalebela na si mapenzi ya msigwa na chadema. Ccm wamelisoma funzo la 2010 na wamewaletea wana iringa mjini mtu wao.
Nawasilisha!
kwelii lakini uwezo wake mdogo sana kuongoza watu wa iringa,ubunge sio kazi rahisi kama anavyofikiri kunywa bia na kullala inbox pub,
Tuko wakati na kizazi kingineekinginee. Siasa za kule si za sasa alishasahaulika. Hana uzoefu wa kimataifa alo nao ...
Hakika, naomba mods kama itawezekana, uz huu ukae mpk baada ya 25.10 ili kuthibitisha maneno yangu.
Hii n kutokanana na ccm kumpitisha kipenz cha wanairinga FREDERICK MWAKALEBELA kuwa mgombea ubunge wa jimbo la iringa mjini. Ikumbukwe kuwa 2010 wanairinga walimchagua msigwa kulipa kisasi kwa ccm kwa "kumkata" Mwakalebela na si mapenzi ya msigwa na chadema. Ccm wamelisoma funzo la 2010 na wamewaletea wana iringa mjini mtu wao.
Nawasilisha!
Pia acha presure pia kumbuka nyie uko mkikosa mlicho tarajia hamchelewi kujining'iniza sasa tafadhali uwe makini mkuu maana naona kama vile unajisahau kuwa huu ni mwaka mwingine
Usije aibika na kuukimbia uzi wako oktoba 25 usiku.
Aende zake maana ashakuwa team mafisadi. Team Lowassa na Nyalandu. Hana maana kabisa, amemuuza Dr. Slaa
Hakika, naomba mods kama itawezekana, uz huu ukae mpk baada ya 25.10 ili kuthibitisha maneno yangu.
Hii n kutokanana na ccm kumpitisha kipenz cha wanairinga FREDERICK MWAKALEBELA kuwa mgombea ubunge wa jimbo la iringa mjini. Ikumbukwe kuwa 2010 wanairinga walimchagua msigwa kulipa kisasi kwa ccm kwa "kumkata" Mwakalebela na si mapenzi ya msigwa na chadema. Ccm wamelisoma funzo la 2010 na wamewaletea wana iringa mjini mtu wao.
Nawasilisha!
Msingwa kwa iringa bila kustahafu kama mzee ndesa hamna wa kumtoa
Lakini ndoto zako za mchana sibishani nazo
Endelea kuishi kwa matumaini