Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Mtela umetumia pesa nyingi sana uku Mbozi ili upitishwe kwenye kura za maoni but umeangukia pua vibaya mno.

Umetumia milioni 6 umepata kura 3,
CCM ina wenyewe na wenyewe ndio sisi,hivi from nowhere utoke utokako uje kuivamia CCM ovyo,

Nasikia unalalamika kuchezewa rafu,sasa ndugu yangu wewe ulipokuwa CHADEMA ulilamika and now unalia tena,ebu rudi shule kafundishe.

MILIONI 6=KURA 3
 
Ni haki yake ya kikatiba hiyo,hakuna namna.

Angetulia jimbo lingekuwa lake.
 
Mtela umetumia pesa nyingi sana uku mbozi ili upitishwe kwenye kura za maoni but umeangukia pua vibaya mno.

Umetumia milioni 6 umepata kura 3,
ccm ina wenyewe na wenyewe ndio sisi,hivi from nowhere utoke utokako uje kuivamia ccm ovyo,

Nasikia unalalamika kuchezewa rafu,sasa ndugu yangu wewe ulipokua cdm ulilamika and now unalia tena,ebu rudi shule kafundishe.

MILIONI 6=KURA 3

that means 6/3= 2 kila mpiga kura 1 alimnunua kwa 2mils.
Good enough!
 
Loh, kweli la kuvunda halina ubani, kura moja kanunu sh. milioni 2! kweli ccm ina wenye meno, sasa una mshauri arudi kufundisha unataka watoto wetu wafundishwe UJINGA? Hilo hatutaki na huko atatolewa tu, alijidai kumuiga Juliana, akajifananisha na wa kike, amekwisha huyo mwenzie anaweza tumia njia mbadala yy je anauwezo huo?
 
Hiyo ndio zawadi ya msaliti,bahati nzuri hiyo hela mumekula wenyewe na kiukweli mumefanya vizuri maana niyenu,ni ile hela mliyomuhonga Zitto akamtumia kwa tigo pesa,aliondoka kule kwa kuona hakuna Democracy akaifuata huko'sasa ameiona Democracy yakweli.Mumefanya vizuri sana nadhani anaanza safari yakwenda kwa Zitto nako!
 
Loh, kweli la kuvunda halina ubani, kura moja kanunu sh. milioni 2! kweli ccm ina wenye meno, sasa una mshauri arudi kufundisha unataka watoto wetu wafundishwe UJINGA? Hilo hatutaki na huko atatolewa tu, alijidai kumuiga Juliana, akajifananisha na wa kike, amekwisha huyo mwenzie anaweza tumia njia mbadala yy je anauwezo huo?


Mkuu hata yeye anaweza kutumia njia mbadala.Unajuaeje mpaka hapo kama hajatumia?
 
Mtela umetumia pesa nyingi sana uku mbozi ili upitishwe kwenye kura za maoni but umeangukia pua vibaya mno.

Umetumia milioni 6 umepata kura 3,
ccm ina wenyewe na wenyewe ndio sisi,hivi from nowhere utoke utokako uje kuivamia ccm ovyo,

Nasikia unalalamika kuchezewa rafu,sasa ndugu yangu wewe ulipokua cdm ulilamika and now unalia tena,ebu rudi shule kafundishe.

MILIONI 6=KURA 3

Pole yake hiyo ndiyo siasa za Ayyatollah jinsi alivyowachezea shere na saizi wanakula wa chuya. Siku nyingine ukiambiwa jambo tumia na zako.
 
hiyo ndiyo demokrasia aliyoifuata amevuna alichopanda!
 
Back
Top Bottom