Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hata yeye anaweza kutumia njia mbadala.Unajuaeje mpaka hapo kama hajatumia?
Mjye ni mzaliwa Wa iringa na nimesoma iringa Kwa hyo naijua iringa Kwa mud a mrefu sasa kingine so cha kujisifu nimeanza kushiriki siasa enzi za mrema manna mzee wangu alikuwa karibu naye kweli.Kwa hyo naongea nikiwa natafakuri kubwa Sana huwez sema mwakalebela atashinda iringa mjini hyo n ndoto za mchana kabsa maana wakat na majira yalishakwisha kupita saizi n mChungaji na wanna iringaa maana tumeona meng ambayo kafanya kama unaijua Barbara za mitaa kibao manispaa sasa n rami maji yamefika mpaka nduli karibu kabsa Kwa bwana lukuvi hivyo msigwa kafanya.Kubwa Kwa yote ameweza kubadilisha mtazamo Mkubwa Wa watu Wa iringaa so huyo afisa habar Wa za man mwambie akae ajipange na aende tu hukohuko wilayani waliko mteua maana we are tired of CCM aisee
Mwakalebela wako asidhani Iringa ni pale Ambiance Club Corner Bar anakojulikana na kila changudoa. Ingekua anagombea ubunge wa pale angepita bila kupingwa.
Kwanza Msigwa anashikilia record ya kutoa hotuba bora kabisa bungeni ambayo haijapata mpinzani mpaka leo
kwahiyo Kigwangalah amemkimbia Bashe...lol