Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manyoni mashariki Daniel Mtuka ameshinda ila matokeo hayajatangazwa Mbunge aliyepita Chiligati kwa kushirikiana na Dr. Chaya wamehonga milioni 30 kwa viongozi wa wilaya ili wachakachue matokeo leo ndo yanaweza kutangazwa rasmi
Kazi yake bungeni alikuwa anasubiri pipi za wanaukawa wakigoma anapita meza mojamoja anachukua pipi ningeshangaa mumrudishe huyu kilaza
Pumbaff siyo neno la kiswahiliPumbaff thaana,eti hotuba bora.!!!!
Huyo ndo mtanzania katika ubora wake
Aliyekuwa mbunge wa Tabora mjini na mwenyekiti wa timu maarufu ya mpira wa miguu nchini Bwana Aden Rage amekatwa ktk kura za maoni ccm.
Mtela umetumia pesa nyingi sana uku mbozi ili upitishwe kwenye kura za maoni but umeangukia pua vibaya mno.
Umetumia milioni 6 umepata kura 3,
ccm ina wenyewe na wenyewe ndio sisi,hivi from nowhere utoke utokako uje kuivamia ccm ovyo,
Nasikia unalalamika kuchezewa rafu,sasa ndugu yangu wewe ulipokua cdm ulilamika and now unalia tena,ebu rudi shule kafundishe.
MILIONI 6=KURA 3
Manyoni Magharibi kwa Lwanji vipi??
wale jamaa wa escrow wote wameshinda uchaguzi ndani ya ccm
u
1. prof Anna Tibaijuka
2. Prof Sospeter Muhongo
3. William Ngeleja
4. Andrew Chenge
5.n.k
Manyoni magharibi Lwanji kapigwa chini kashika nafasi ya 3, Kaongoza jamaa mmoja wa kiwanda cha magogo na wa pili ni Dr. Mwanga. Ila jamaa wa magogo amekatwa live na TAKUKURU so kuna uwezekano wa kukatwa akipita Dr. Mwanga