Gojaga Nize
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 2,799
- 1,809
Membe muimba taarabu. wazee wengine wanazeeeka vibaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ni August 1,2015 Wanachama wa chama cha Mapinduzi (CCM) nchi nzima wanakusanyika katika maeneo ya matawi yao kuchagua mgombea mmoja atakayeshindana na wagombea wengine kutoka vyama tofauti na CCM.
Mchakato wa kampeini katika mkoa huu zimetawaliwa na vituko,udhalilishaji kwa baadhi wa wagombea hivyo hata upigaji kura za maoni utakuwa hivo hivyo,hii ndiyo sababu inatufanya tufuatilie live kura hizi.
Updates...
MORE UPDATES:
Friends Of Hon.Membe wapeta nafasi za ubunge.
Katika hali ya ushindani wa makundi hasimu ya kambi za urais ndani ya Ccm hadi sasa kundi la Bernard Membe limeonesha kung'ara dhidi ya kundi la Edward Lowassa.
Ushindi mkubwa unaovunja rekodi waliopata marafiki na mashabiki wa Bernard Membe kwenye kura za maoni nafasi za ubunge umezidi kuwaumiza vichwa marafiki na wapambe wa Edward Lowassa walioangukia pua.
Baadhi ya makada waliopo kwenye kambi ya Bernard Membe wameangusha "mibuyu" iliyojimilikisha majimbo na vyeo ndani ya Ccm kwa kutumia hela chafu.
Mmoja wa wanachama wa Ccm alisema,"Bernard Membe kasaidia kusafisha uozo kwenye chama.Wachafu waliomuunga mkono Edward Lowassa waanguka na kuhamia upinzani na waliobaki wamekosa dira na sasa wanasubiri huruma ya Ccm.Bernard Membe anazungukwa na waadilifu.Waliomuunga mkono ilikuwa lazima washinde kutokana na ukweli kwamba wana dhamira ya kusaidia nchi kama aliyonayo Bernard Membe mwenyewe ambaye pamoja na kukosa urais ila bado anaheshimu maamuzi na kukiheshimu Ccm".
Baadhi ya makada wanaomsapoti Bernard Membe na walioangusha "mibuyu" ya ufisadi iliyokuwa na Edward Lowassa ni Bona Kaluwa aliyemwangusha Dk.Makongoro Mahanga,Dc Masala aliyemwangusha Mathias Chikawe,Aboubakar Asenga aliyemwangusha Abdul Mteketa,Mnec Miraji aliyemwangusha Pereira Ame Silima na Nape Nnauye aliyemwangusha Suleiman Mathew.
Kwa uchache tu hapa imedhihirika Bernard Membe ana nguvu kuliko Edward Lowassa.Mzizi wa fitina umekatwa na bado matokeo mengine yapo loading.....tutazidi kuwaletea!
Pole classmate wangu Mtela aka Ganzi enzi za mbeya secondary. Hiyo ndo zawadi ya usaliti. Vp Mwigulu hajakupiga tafu? Au ndo alikukopa hiyo ml 6 then ukiingia mjengoni utamlipa... kwi kwi kwiiiii
Acha unyanyasaji wa kijinsia wewe kwani mwanamke hawezi? Lolote unalosema na kudhani juu ya mwanamke,jua inamrudia mama yako,dada yako na shangazi yako.
Kwa habari nilizozipata kutoka Bunda mjini ni kwamba Wasira anaenda kupita. Pia jimbo la Mtama Lindi mheshimiwa Nape Nnauye Mambo yamemunyookea...nitawaletea kura zilivyo kwa kila mgombwa soon.Kama una ukweli wa sehemu yako tuwekee..pia naambia naibu spika Mh Ndugai upepo upo vizuri kwake.
Huo ndio ukweli mchungu,makabila ya Wamasai na Wakurya kuongozwa na mwanamke ni nadra sana,CCM kama wangemsimamisha mgombea mwanamme Tarime Mjini angemsumbua sana Esther Matiko,lakini kwa kumsimamisha Gaudensia Kabaka ni kama waameshamtangaza Esther Matiko kuwa Mbunge wa Tarime Mjini
Yaani hawa mawaziri walikua mizigo kwa wizara, walishindwa kutetea maslahi ya maaskari bungeni tofauti na waziri wa ulinzi alivyokua akipigania maslahi ya wanajeshi, pia wameshindwa kuleta maendeleo kwenye majimbo yao, kwa hiyo WAKATWE TU.
Kama hukufuatilia bajeti ya wizara ya mambo ya ndani na ulinzi msimu huu usichangie thread yangu sababu utakua unashindana bila reference.
Yaani hawa mawaziri walikua mizigo kwa wizara, walishindwa kutetea maslahi ya maaskari bungeni tofauti na waziri wa ulinzi alivyokua akipigania maslahi ya wanajeshi, pia wameshindwa kuleta maendeleo kwenye majimbo yao, kwa hiyo WAKATWE TU.
Kama hukufuatilia bajeti ya wizara ya mambo ya ndani na ulinzi msimu huu usichangie thread yangu sababu utakua unashindana bila reference.