Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aje CDM tuimarishe kikosi.
"Time and tide waits for nobody" dj mboweDuuu ndipo mlipofikia.
amegombea ubungo makusudi ili amalizie dili lake la kuuza kituo cha mabasi ya mikoani , lakini baada ya sisi kushtuka tumemuweka kubenea , masaburi atafute kazi , kwa kubenea hatoki .
Yeye kasema hakuna mgombea asiye te nga bajeti ya kampeiniUsipotoshe Maana wewe, Soma Vizuri Masaburi alikuwa anawasema Maccm, Kwamba Wote wametoa Rushwa including na yeye.
"Time and tide waits for nobody" dj mbowe
Yeye kasema hakuna mgombea asiye te nga bajeti ya kampeini
we ni samweli???
We subiri uone kitakachomkuta Said kubenea. Yule ndo masaburi aliyewaambia wabunge wa dar es slaam wanatumia makalio kufikilia
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka, na Mbunge wa Jimbo la Tarime mkoani Nyambari Nyangwine, wamebwagwa katika kura za maoni (CCM) katika Jimbo la Tarime mjini na Tarime Vijijini katika nafasi ya Ubunge.
Mkurugenzi Msaidizi wa Uchaguzi wa Wilaya ya Tarime, Mathias Lugora, ametangaza kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Christopher Rioba, ameibuka mshindi kwa kupata kura 15,928 akifuatiwa na John aliyepata kura 12,205.
Katika Jimbo la Tarime Mjini, Maiko Kimbaki, amembwaga Waziri wa Kazi na Ajira, (Gaudensi), kwa kupata kura elfu 3908 dhidi ya kura 2411 alizopata Waziri Kabaka.
Uchaguzi katika Jimbo la Tarime mjini na Tarime Vijijini uliahirishwa juzi kutokana na kupatikana kwa kura zilizokuwa zimewekwa alama ya tiki kwa baadhi ya majina ya wagombea kabla ya zoezi la kupiga kura kuanza.