Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Uyu bibi si ndo wa ajira! Afadhali maana recruitment agencies zinawanyonya watoto wa maskini na anajua bt anazipotezea pia mfumo wa ajira serekalini ni mbovu sasa sijui amesimamiaga nn!! Ata ukawa hatumtaki.
 
amegombea ubungo makusudi ili amalizie dili lake la kuuza kituo cha mabasi ya mikoani , lakini baada ya sisi kushtuka tumemuweka kubenea , masaburi atafute kazi , kwa kubenea hatoki .

We subiri uone kitakachomkuta Said kubenea. Yule ndo masaburi aliyewaambia wabunge wa dar es slaam wanatumia makalio kufikilia
 
hebu tusaidiane..
Baada ya zoezi la uandikishaji nani anatunza mashine za BVR nani anahakikisha kuwa hazitumiwi kutengeneza kadi mpya kwa wapiga kura wasiofahamika?!

Hakuna wa kuzuia bao la mkono
 
Usiogope UKAWA ni mpango wa mungu, hivyo hakuna goli la mkono wala kisigino
 
Wahenga walishasema "mwaka wa kufa nyani...... "
 
Hilo nalo neon,ila sioni wakifanya hivyo, we need to keep the spirit
 



Naomba Kujua Mtoto Wa Aliyekuwa Gavana Wa Benki Kuu Hayati Mzee Nyirabu Anaitwa Masero Nyirabu AMEPITA au Na Yeye Ni Bila Bila?
 
Nipo ofisi za C.C.M wilaya, kulikuwa na vijana wengi hapa ofisi ya c.c.m wilaya wakilaani mbunge wao Aeshi Hilary kukatwa. Na hakuna kiongozi yeyote wa c.cm alothibitisha kama ni kweli ama laa. Kama kuna mtu anaweza tuthibitishia tafadhali.
 
​Kwani mwenye mamlaka ya kukata jina lake ni hapo ofisi za Mkoa au Kamati kuu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…