Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Arumeru mashariki John Pallangyo ambapo tunashinda kabla ya kwenda kanisani
 
Kama kuna watu alikuwa anawategemea sana Lowasa katika mikakati yake basi ni pamoja na huyu Hussein Bashe. Bashe ni miongoni mwa makada wa CCM ambao walitajwa kuhamia CHADEMA kumfuata bosi wao Lowasa. Pia alikuwepo Mussa Zungu, Kangi Lugola, Christopher Ole Sendeka nk. Ushindi wa makada hawa hakika ni pigo kubwa sana kwa Lowasa. Sidhani kama kuna dalili za yale Mafuriko ya makada wa CCM kukimbilia CHADEMA. Mpaka sasa, katika watu wake wa karibu, ni mkewe tu ndiye aliyeenda CHADEMA.

Na bado

Goodluck Ole Medeye Nae Ni Mkewe? James Lembeli Na Esta Bulaya Hao Wote Ni Wake Zake Lowasa? Hebu Ficha Ujinga Wako.
 
Katika hali isiyo ya kawaida wanaCCM jimbo la Lushoto wameamua kujaribu ujinga kwa kumchagua mgombe wa darasa la saba kuwakilisha katika uchaguzi mkuu 2015. katika chama hicho kilibahatika kupata magombea wenye Elimu ya juu sana na ya hali ya juu lakini wanaCCM wakaamua kuchukua maamuzi ya kumpitisha mgombea wa darasa la saba na kuwapotezea wasomi wote majanga. walipo ulizwa kwa nini wameamua kumpitisha mtu wa darasa la wengi wakadai eti aaaaah! bwana bora tumpitishe mjinga mwenzetu kwa sababu hao walisoma hawana msaada wowote.:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:

So gooooood!
 
Roger that....Nafuta kauli ya red.
Nshomile maana yake nimtu aliyesoma
kwa wenzetu wa Mkoa wa west Region au Kagera walibahatika sana kwenda shule
sasa kila wakikutana na kutambulishana kuwa fulani anatufaa kwa ajili ameelimika sana ndipo wanapotumia jina hilo
Fulani Bwana Nshomile
(na sio TUSI kabisa)

 
Chalinze Municipal Council au mkoa tarajiwa wa Chalinze, nani amepita kwenye hili jimbo la Chalinze.
 
Jimbo la kalambo mkoa wa Rukwa
1. MWANANZILA
2.ROSELITA KASIKILA
3........
LAST: MBUNGE AMBAYE YUPO MADARAKANI JOSEPHAT KANDEGE
 
Mkuu itakua ngumu wewe kunijua mimi, na pia niwie radhi kwa kutonielewa, niliweka fungua na funga semi nikimaanisha haya maneno ya "aibu naona mimi" hua unayatamka wewe kule MMU, kwa hakika haya ni maneno ya kike kike, na una tabia za kike kike, punguza upuuzi wa kutumia miguu kufikiri.

hebu toa ujinga wako hapa.
Hapa tupo jukwaa la siasa halafu ww unaleta habar mmu!

Ww kama unaniota endelea kuniota ntakutengeneza ipasavyo.
Jitu huna hata aibu nilikuwa sijibizan na ww lakn ww kwa kiherehere chako unaamua kunivamia.

Lakn utambue hicho kiherehere kitakupelekea mimba.
 
KURA ZA MAONI CCM
1. Mwigulu - Iramba
2. Nape - Mtama
3. Mwakasaka - Tabora Mjini
4. Mama Sitta - Urambo
5. Kadutu - Ulyankulu
6. Bashe - Nzega
7. Ngeleja - Sengerema
8. Seif - Igunga ktk jimbo jipya.
9. Masaburi - Ubungo
10. Jerry Slaa- Ukonga
11. Prof Kamala - Nkenge, Misenyi
12. Kagasheki -
13. Lukuvi - Isimani
14. January - Bumbuli
15. Muhongo - Musoma vijijini
16. Ndugai - Kongwa
17. Chumi - Mafinga
18. Kigola - Mufindi kusini
19. Mgimwa - Mufindi kaskazini
20. Filikunjombe - Ludewa
21. Mgimwa - Kalenga...
22. Lusinde - Mtera
23. Imani Moshi - Kaliua
24.Mwakasaka -Tabora mjini
25.Fenala Mkangara -Kibamba
26.Mapunda-Mbinga mjini
27.Masele -Kahama
28.Antony Mavunde-Dodoma hizi ndio data nilizopata

Ukonga umechemka mkuu
 
Back
Top Bottom