Zipapa zipapa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 409
- 118
hii ni komoni ya Ipogolo bila supu kwanza ina nguvu kama madawa ya kulevya
Lazima utakuwa umekwishaijaribu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ni komoni ya Ipogolo bila supu kwanza ina nguvu kama madawa ya kulevya
Kapita Leonidas Gama, yule Mkuu wa Mkoa mwenye uwezo mkubwa wa kufanya maamuzi na kusimamia. Ni pandikizi la mtu kama Cptain John Komba. Pale CCM wamelamba dumesongea mjini nani kapita
msagatiherry huyo Abedi na siasa haijui maana yeye maslahi yapo mbele . ndio aliyoipotosha ccm 2010 kuwa monica mbega anakubalika kumbe ikawa kinyume so kwa taarifa yako safari hii CCM makao makuu wana watu wao kila jimbo hawadanganyike kwa kuwasikilza watu kama abeid ambayo ni mpotoshaji.
Kapita Leonidas Gama, yule Mkuu wa Mkoa mwenye uwezo mkubwa wa kufanya maamuzi na kusimamia. Ni pandikizi la mtu kama Cptain John Komba. Pale CCM wamelamba dume
Wewe upo wapi nipo iringa hapa ccm imedorora kbs na mtu waliyekuwa wanamtegemea mama jesca kawa wa tatu magamba wenyewe wanasema bado mchungaji msigwa ni shida jipange na hoja zako
Dalali wa viwanja huyo hata penya kwa NchimbiNimefurahi mno tena mno.Huyo serikali ijayo namwombea asikose nafasi kubwa ya uongozi ana uwezo mkubwa sana tena sana
Mbeya mjini usijisumbue bibie Sugu ndiyo habari ha mjiniMbeya Mjini nani jamani?
Mbeya mjini usijisumbue bibie Sugu ndiyo habari ha mjini
Nimekurahishia tu mrembo ili usipoteze nguvu Zako,ila kina liza-bomu watakuja kukujuza habari za magambaHahahaaa Naulizia katika mchakato wa ccm nani anaongoza