Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Vuma alifunga bao la mkono

>rushwa iliyokithiri yatajwa kuwa chanzo cha uchakachuaji

>wapiga kura 370 hawajulikani walitoka wapi

>Matokeo halali yabainika Mwl Bunyaga alimshinda Vuma kwa kura 454 (nakala imeambatanishwa)

>uchakachuaji mkubwa wabainika katika matawi ya Muzye,mutala,kanaani,nyabweru,makere,nyangwa na kalimungoma(nakala imeambatanishwa)

>Mwl Bunyaga agoma kusaini

>vyombo husika vinashughulikia kutatua sintofahamu ya mgogoro huo

ahsante tutazidi kuhabarishana yatayojiri

attachment.php

attachment.php
 

Attachments

  • matokeo halali.jpg
    matokeo halali.jpg
    19.6 KB · Views: 26,485
  • kura zidi.jpg
    kura zidi.jpg
    13 KB · Views: 26,203
wangoni wenye asili ya peramiho mnatuabisha.mpaka leo mnaruhusu mambo ya mtu kupita bila kupingwa?.bure kabisa.mwe mwa vahimu kweli.
 
Hahaha! Malima anasema Cheni yake ya shingoni sawa na Pato la miezi mitatu la wakazi wote wa kijiji cha Vianzi! Mwaka huu lazima mtiwe adabu Bosi wenu Comrade Kinana ndo alosema Mizigo mtoswe na sasa ni Makapi, hamia kwa Mtia nia Urais aliekusudia kutuwezesha wote tuwe kama Bakhresa!
 
Kwani safari hii hakutembea walau na ka AK47 ukiachana na ile RPG inayotumia TORPEDOES!
 
Kuna habari niliisikiaga siku za nyuma kipindi niko songea kwamba huyo mtu ni hatari kwa mambo yetu yale ya 'kisumbawanga', huwa maranyingi anapita bila kupingwa. Ukijitokeza tu kumpinga lazima upate matatizo au uresti in pisi kabisa
 
Huo mzgo tu ndo maana alikimbia mjini na kwenda mbnga vjjn na atoswe tu coz ni mzgo bungeni na jimboni kwake pia.
 
yaan ikifika oct 25 wanamagoli ya mkono watakuwa hoi bin taabani, kwa vichapo wanavyopeana kwa hiyo wizi wa kura hawataweza na sisi ukawa tutashinda asubui asubui. Mungu wazidishie mapigano hawa wezi ccm
 
Back
Top Bottom