GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwani timu iliyocheza ni Yanga au timu ya taifa?
Hata hivyo ni wachezaji watatu tu wa Yanga waliochezeshwa leo Dida, Nadir na Joshua
sasa hata hao watatu wa yanga waliocheza na umewataja hapo ni "mafundi " kweli? unaweza kumfananisha dida na ivo mapunda? unaweza kumfananisha nadir haroub na hassan isihaka? unaweza kumfananisha oscar joshua na mohamed hussein tshabalala? na hao watatu uliowataja hayo magoli yote matatu yanawahusu na yamepitia kwao. delete kabisa michezaji ya yanga timu ya taifa weka wachezaji wengi na wanaojua wa simba sports club. mtanuna sana mwaka huu!