UPDATES: Mliowahi mjini tujuzeni Jangwani panapitika na mvua hii?

UPDATES: Mliowahi mjini tujuzeni Jangwani panapitika na mvua hii?

Ndio ujue je daraja la baharini salenda ni muhimu kuliko jagwani au hii nchi haina vipaumbele?

Nchi masikini zinaendelea kua masikini kwa sababu pia hawana vipaumbele, hutekeleza miradi kwa ajili ya sifa ambayo hua haina faida.

Morogoro road ndio barabara kubwa kuliko zote inayopeleka watu wengi mjini na kuwatoa ila angalia haipewi kipaumbele hasa eneo la jangwani.

Unashangaa tunajenga daraja ubungo liwawahishe watu mjini kisha wakifika jangwani hakuna njia ya kwenda mjini, ni vituko.

Vicious circle of poverty haitatuondoka miaka na miaka.
Jangwani ni uzembe wa mamlaka. Pale kuna mkondo wa maji (mto). Lakini kwa ujinga wao wakaenda kujenga na kutupa takataka kwenye mkondo wa maji. Matokeo yake tunalipa kwa gharama kubwa. Ujinga wa mwafrika.
 
Ndo ujue namna ambavyo watu wapo brainwashed.

Wanaamini mvua ni kosa la serikali wanasahau wanavyokata miti ili wajenge majumba yao ya kuishi huchangia maafa ya mazingira
Mliopo Dar hebu mjibuni jamaa basi maana badala ya kumjibu swali mijamaa imeanza kulalama na kuishtum serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂😂 Maxence Melo wekeni huu uzi uwe sticky ili kila mvua ikinyesha watu wapeand updates kama panapitjka au pamefungwa...

...Whilst mwenye mkoa wake hana hata habari
 
Back
Top Bottom