Miaka ile ya sabini (1976?), Yanga alipotundikwa 6-0, kulikuwa na mgogoro kwenye club ambao ulipelekea kuzaliwa kwa Pan African. Viongozi wa Yanga hawajawahi kujifunza athari za migogoro? Hii ni aibu kubwa sana kwa club. Japo siombei, club akisambaratika baada ya mechi hii, nitakuwa mmoja kati ya ambao hawatashangaa.