Updates: Simba SC vs Yanga SC Uwanja wa Taifa

Uongozi wa Yanga leo utakimbizwa kwa Bakora!
 
Refa alishasema lazima aipe simba penalt nu simba damu.Mpira wa bongo fitna zimezidi badala mpira uchezwe mnamtegemea refa
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Yamekua hayo,

vipi alisema pia lazima atunyime penati???
 
safi sana bado tunahitaji magoli zaidi ili wakome hao yeboyebo
 
Uwiiiiiiiiiiiiii kipa wa yanga umeenda likizo kocha yanga tunaumiaaaaa!!!!
 
Hawajafuta hili deni hadi sasa (6-0)! Na leo tunawapa jingine.
 
Refa alishasema lazima aipe simba penalt nu simba damu.Mpira wa bongo fitna zimezidi badala mpira uchezwe mnamtegemea refa

Hakuna hata mchezaji mmoja anayelalamikia hizi penati. Inakuwaje unalalamika kiasi hiki? Nadhani wewe hauko uwanjani. Discipline ya backline ya yanga leo hii ni mbovu sana. Mjipange sana kwani mwaka huu hamjaharibu katika mechi hii tu. Mmefdanya mengi sana yaliyo nje ya mchezo wa soka
 
Yanga wamepata rahana baada ya kuwanyanyasa Wazee wao
 
penati 3??simba mmenunua mechi.

Unadhani YANGA wanaweza kuuza mechi?

Wameshaisha kimpira, wako sawa na ligi za mkoa. Refa amejitahidi kuwabeba waaapiiii.

Hiyo ndo simba bwanaaaaaaaa
 
tunataka bao SABA (7) hapo, akina Okwi wasilete utani. Eboh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…