UPDATES: Taarifa zote za usajili Duniani kote

DEAL DONE: Marc Bartra has signed for Borussia Dortmund from Barcelona for around £6.2m. Another Billy Bargain.
(Source: BVB )
 
Sky Sources:
Manchester United are in talks with
Villarreal to sign Ivory Coast
international Eric Bailly.
 
Should Vardy deal complete, could
push Leicester to go for Slimani.
€30m buyout clause at Sporting. 32
goals last season.
 
Diego Simeone rejected approach
from PSG because he wants to stay
with Atletico [Di Marzio]
 
Eric Bailly from Villarreal could be manchester first signing under Mourinho. Advanced talks, would be very close to signing.
( Carrusel Deportivo)
 
Reactions: Lee
Ni swala la muda tu lililosalia kwa sasa .

Anatarajia kuachana na Southampton aliyojiunga nayo mwaka 2014 ambayo msimu uliopita ilimaliza kwenye nafasi ya 8 , na kujiunga na Everton kwa ada ya uhamisho ya paundi mil 5 .

Zipo tetesi kwamba nafasi yake southampton itazibwa na Manuel Pellegrin .
 
London bound? Álvaro Morata has offers from England and #Chelsea are reportedly very keen on signing the Spaniard.
 
Timu ya dar young africans wamefanya usajili wa wachezaji wawili,kipa benno kakolanya kutoka kwa wanajelajela wa kutoka mbeya city prisons,wapili ni beki wa kati vicent andrew kutoka kwa wakata miwa wa mtibwa sugar
 
Hii nayo ni breaking news.

Chura buana [emoji196] [emoji196]
 
...hao waliokupa 'like' sijui wameelewa ulichoandika?, au wamekupa tu,sababu wali "press button!"
 
Yanga yakamilisha deal la wachezaji wawili Beno Kakolanya kutoka Prisons anacheza nafasi ya goli kipa na Andrew Vincent kutoka Mtibwa ancheza nafasi ya beki.
 
Timu ya dar young africans wamefanya usajili wa wachezaji wawili,kipa benno kakolanya kutoka kwa wanajelajela wa kutoka mbeya city prisons,wapili ni beki wa kati vicent andrew kutoka kwa wakata miwa wa mtibwa sugar

Mkuu samahani lakini..tuko bize na copa america
 
Reactions: PNC
DEAL DONE: Borussia Dortmund have
signed Sebastian Rode from Bayern
Munich on a 4-year deal.
(Source😡BVB )
 
Juventus is looking to sign both
Mascherano & Pjanic. They have an
agreement with Pjanic's agent
 
El Confidencial: Barcelona want Laporte and Bellerin, have talked to players and agents behind the backs of their respective clubs.
Barca know they have to pay the buy-out for Laporte, while it is also stated Arsenal have no intention to sell Bellerin.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…