Updates: Upo maeneo gani, matukio gani kuelekea kuingia mwaka mpya 2018?

Updates: Upo maeneo gani, matukio gani kuelekea kuingia mwaka mpya 2018?

Nipo Coco beach na Wana familia wangu ninaoishi nao kwa Sasa!

Hii ni mbinu yangu kongwe kudhibiti waruka fensi na kwenda kusikojulikana usiku wa Mikesha

Hapa ni Kama Jeshini kwangu ni mwendo wa kuhesabu namba, najua wapo wanaonilaani sana lakin ni kwa Nia njema tu!

Tumezungusha Mduara wa Viti na Soft drink na Kahawa kwa sie wengine na kibaridi hiki japo kwa pemben yetu kizazi cha Firauni nacho hakijaadimika wapo

Nyakati hizi huwa pia najikumbusha Ndugu na Jamaa zangu ambao Miaka ya Nyuma tarehe Kama Hii tulikuwa nao eneo hili Miaka kadhaa iliyopita lakin Leo Hii miili Yao ni sehemu ya Matabaka ya udongo
Kwa pembeni japo kizazi cha firauni hakijadimika[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Nimecheka sana hapo.

Ila hiyo mbinu yako kiboko ila nadhani wapo wanaokulaaani kichinichini na kuuma meno na vidole kwa hasira.
 
Haahhahaa kuzurula tu kuijua dunia, nakushangaa umekaa tuu hapo kwako maghorofani usiende hata nyumbani park, viber, nyamatandala, Motown, black & white ili uuanze mwaka vzr
Viber + samaki samaki
 
Back
Top Bottom