Updates Uwanja wa Uhuru,VPL: KMC Vs Yanga African

Hapa hawatokei dawa yao hawa kuwatimbia kule kule kwenye uzi wao wa waganga fc....
Wametoboa mtumbwi na wenyewe wapo humo humo eti wanamkomoa mnyama ovyo kweli hawa!
Wachawi fc uzi wao kule hauonekani bwashee wameuloga umepotea ghafla,,
Ila uchawi ukiisha nguvu tutauona tu hamna shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu yule kocha wao sijui Lucia nani nani, bado anaendeleza upuuzi wake? Nimemwona akimtolea lugha mbaya mmoja wa maafisa wa mechi ya leo. Ukitizama vizuri unagundua kwamba lips zake zilitamka matusi kadhaa.

Au anafikiri kufanana kwake na Jean-Claude Vandamme kunamfanya naye ajue kickboxer kiasi kwamba anaweza kumtukana yeyote, na kisha kumtwanga ikibidi? Mpuuzi sana huyu.
 
hata wao vyura wanajua bila uchawi ni ndoto kuifunga simba, ndo maana walikaa kikao cha kamati mwanza kutafta walozi ili washinde
 
Nahodha wao Tshishimbi akihojiwa baada ya mchezo;

"Anasema walikuwa wanajua leo wanacheza Taifa sasa kubadilishiwa uwanja na kucheza Uhuru kuliwaathiri Kisaikolojia".

Kumbe Taifa ndo hutega vibuyu vyao vya ulozi ha ha ha [emoji23][emoji3]
 
Nahodha wao Tshishimbi akihojiwa baada ya mchezo;

"Anasema walikuwa wanajua leo wanacheza Taifa sasa kubadilishiwa uwanja na kucheza Uhuru kuliwaathiri Kisaikolojia".

Kumbe Taifa ndo hutega vibuyu vyao vya ulozi ha ha ha [emoji23][emoji3]
Kwahiyo kubadilishiwa uwanja kuliwaathiri kindumbalojia?!!!😀😀😀
 
Leo Jerry Muro na kamati yake ya Ulozi baada ya kufika kwa Mganga wao aliambiwa "You entered a wrong password" [emoji23] [emoji23]
Kumbe ile password ya Ushindi aliyokujanayo ime-expire baada ya game na Simba tu! [emoji23] [emoji23]

CC: Shadeeya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…