Updates Uwanja wa Uhuru,VPL: KMC Vs Yanga African

Wah
Uwezo gani huo? Wa kutoa ist au wa miamala? Teh teh.
Wahenga walisema akutukanae havhagui tusi! Hivi hukumbuki wakati ule mpaka Papaa Zahera akama "Boo, Simba wako na timu nzuurii, bana pasi mpiya saanaa, halafu banatia kunyavu" 😀

Sasa leo wewe unasema tunashinda kwa ist! Mi naomba kweli tukutane FA
 
Ndio kilichobakia Mtani ili kujipoza machungu ya tarehe 08.

Hivyo tuiteni mutuitavyo ila machungu ya kipigo hayafutiki.
pole kwa ugonjwa unaokusumbua, naimani utapona hv karibuni, vp umeshamaliza dozi?
 
Sasa kwa nini ulogwe wewe peke yako? [emoji23][emoji23] Una kipi cha ziada ambacho timu zingine hawana?

Ila
Shadeeya hongera.... ni mshabiki peke wa yanga ninaemuona humu kwenye kila uzi... anayekubali hali zote na hukimbiagi.. ukikuta uzi wa kuinanga Yanga unawafata simba humo humo na kuwajibu... napenda majibu yako sio ya kinafiki unakubali matokeo ila pia unajipoza pia kwa kuwapa simba vipande vyao......

Waambie wenzio gongowazi fc kuwa wasiwe wanaonekana wakiwa wameshinda...

By the way i am simba fan also [emoji1] ila respect kwako


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ahsante Mkuu.
Waambie wenzio gongowazi fc kuwa wasiwe wanaonekana wakiwa wameshinda...
Weee!! Maneno mlizo nazo shabiki wa simba zinahitaji moyo mgumu hasaa kuzivumilia.
By the way i am simba fan also [emoji1] ila respect kwako
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mefurahi kuongeza Idadi ya Watani.

Shukrani 🙏🙏🙏
 
Hata mie nilitaka kusema hivyo hivyo yani huyu.. ndala fc damu😂 wenzake wengi huwa wanatokaga nduki pindi timu yao inapopitia kipindi kigumu lkn huyu ana moyo wa ujasiri hakimbiagi kiukweli. Yani hata mie sina moyo kama wake😂.... im real i like her👊 salute nyingi sana kwake mkuu SHADEEYA!!
 
Leo Jerry Muro na kamati yake ya Ulozi baada ya kufika kwa Mganga wao aliambiwa "You entered a wrong password" [emoji23] [emoji23]
Kumbe ile password ya Ushindi aliyokujanayo ime-expire baada ya game na Simba tu! [emoji23] [emoji23]

CC: Shadeeya
Kwa uchokozi tu hujambo.

Ila ndio mpira bana. 😔😔 Tuache. 🚶‍♀️
 
nimekupenda bure Shadeeya una roho ngumu mtani,uwe unaniazima hiyo roho ngumu siku nikifungwa
Yabidi aisee Mtani.

Nakumbuka juzi eti unasema sura yako utaiweka wapi. Lol. We yakitokea haya sura yako iweke pale pale pa siku zote. Sababu hata ukijificha haibadilishi kitu. 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…