Updates:Vurugu zaendelea Tena magu Kwa siku ya pili

Updates:Vurugu zaendelea Tena magu Kwa siku ya pili

Mi bishoo tu

Senior Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
122
Reaction score
294
Sakata la wananchi wa Magu kurushia mawe magari ya abiria yanayoingia na kutoka Barabara ya Mwanza-Musoma na zile Barabara ndogo ndogo limeendelea leo ambapo Vurugu za Leo zimekuwa maradufu ukilinganisha na zile za Jana. Madai ya wananchi ni kwamba Mkuu wa mkoa aliwaahidi kufika na kuongea nao lakini hajatokea. Hali hii imepelekea hasira Kwa wananzengo na pia imepelekea biashara kuendelea kufungwa mapema kabisa likiwemo gulio maarufu la jumamosi. Ila dreva unagongaje abiria eneo la zebra?

Pray for Magu🙏
 
Kama hoja ni hiyo Mkuu wa mkoa angefikiria kwenda kuwasikiliza! Na huenda vurugu zingeisha mara moja.
Haihitaji kazi kubwa kuwatuliza raia!
Kuwatuliza wananchi wa Tanzania tena kwa ahadi za uongo siyo kazi ngumu!
 
Sakata la wananchi wa magu kurushia mawe magari ya abiria yanayoingia na kutoka Barabara ya Mwanza-Musoma na zile Barabara ndogo ndogo limeendelea leo ambapo Vurugu za Leo zimekuwa maradufu ukilinganisha na zile za Jana. Madai ya wananchi ni kwamba Mkuu wa mkoa aliwaahidi kufika na kuongea nao lakini hajatokea. Hali hii imepelekea hasira Kwa wananzengo na pia imepelekea biashara kuendelea kufungwa mapema kabisa likiwemo gulio maarufu la jumamosi. Ila dreva unagongaje abiria eneo la zebra?

Pray for Magu🙏
Wametumwa na CCM hao ili ionekane Nchi hii hali ya usalama ni ndogo hivyo wazuie mikutano na majumuiko ya Raia wema
 
Sakata la wananchi wa magu kurushia mawe magari ya abiria yanayoingia na kutoka Barabara ya Mwanza-Musoma na zile Barabara ndogo ndogo limeendelea leo ambapo Vurugu za Leo zimekuwa maradufu ukilinganisha na zile za Jana.Madai ya wananchi ni kwamba Mkuu wa mkoa aliwaahidi kufika na kuongea nao lakini hajatokea.Hali hii imepelekea hasira Kwa wananzengo na pia imepelekea biashara kuendelea kufungwa mapema kabisa likiwemo gulio maarufu la jumamosi.Ila dreva unagongaje abiria eneo la zebra?

Pray for Magu🙏
🤷
 
Kwani mkuu wa mkoa anashindwa nini kwenda awasikilize watoe dukuduku lao then mambo yaishe? Amos Makala anakuwaga na kauzembe fulani a kind of umwinyi.
 
Daah ila kuua watoto kizembe kunatia Hasira sana maana inatakiwa tuwalinde kwa vyovyote vile unagonga watoto Mjini aisee....
 
Sakata la wananchi wa magu kurushia mawe magari ya abiria yanayoingia na kutoka Barabara ya Mwanza-Musoma na zile Barabara ndogo ndogo limeendelea leo ambapo Vurugu za Leo zimekuwa maradufu ukilinganisha na zile za Jana.Madai ya wananchi ni kwamba Mkuu wa mkoa aliwaahidi kufika na kuongea nao lakini hajatokea.Hali hii imepelekea hasira Kwa wananzengo na pia imepelekea biashara kuendelea kufungwa mapema kabisa likiwemo gulio maarufu la jumamosi.Ila dreva unagongaje abiria eneo la zebra?

Pray for Magu[emoji120]
20230812_141401.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sakata la wananchi wa magu kurushia mawe magari ya abiria yanayoingia na kutoka Barabara ya Mwanza-Musoma na zile Barabara ndogo ndogo limeendelea leo ambapo Vurugu za Leo zimekuwa maradufu ukilinganisha na zile za Jana.Madai ya wananchi ni kwamba Mkuu wa mkoa aliwaahidi kufika na kuongea nao lakini hajatokea.Hali hii imepelekea hasira Kwa wananzengo na pia imepelekea biashara kuendelea kufungwa mapema kabisa likiwemo gulio maarufu la jumamosi.Ila dreva unagongaje abiria eneo la zebra?

Pray for Magu🙏
Hata kama ni eneo la zebra ,mtembea kwa miguu bado ana wajibu wa kufanya kabla ya kuvuka.Tatizo kubwa mtu akiwa kwenye zebra anajiona kama ni sehemu salama kabisa,kitu ambacho sio sahihi.
 
Hata kama ni eneo la zebra ,mtembea kwa miguu bado ana wajibu wa kufanya kabla ya kuvuka.Tatizo kubwa mtu akiwa kwenye zebra anajiona kama ni sehemu salama kabisa,kitu ambacho sio sahihi.
Kama ni watoto au vijana wadogo under 18 ni wajibu wa dereva kuchukua tahadhari.......kuwagonga watoto au vijana wadogo tena kwenye zebra ni uzembe wa hali ya juu, madereva wengi wa maeneo hayo wanaona kuendesha kwa mwendokasi kupindukia ni jambo la kujisifia, full ulimbukeni.
 
Amos anausikaje hapo sasa
Wamesema wanataka mkuu wa mkoa aende akawasikilize. Hakuna sababu ya mkuu wa mkoa kukaidi kuwasikiliza hao wananchi as long ni katika kupunguza vurugu na maafa yanayoweza kutokea zaidi sababu wanafunga barabara, hiyo yaweza kupelekea watu kufariki kwakukosa kwenda hospital nk.

Kutumia nguvu ya polisi kila wakati huwa sio njia sahihi ya kukabiliana na changamoto ndogo za namna hii kama kiongozi inaweza kumletea doa kiutendaji.

RC anashindwa nini kupita hapo na kuwasikiliza then akatoa amri watawanyike anafanyia kazi na yakaisha salama?
 
Wamesema wanataka mkuu wa mkoa aende akawasikilize. Hakuna sababu ya mkuu wa mkoa kukaidi kuwasikiliza hao wananchi as long ni katika kupunguza vurugu na maafa yanayoweza kutokea zaidi sababu wanafunga barabara, hiyo yaweza kupelekea watu kufariki kwakukosa kwenda hospital nk.

Kutumia nguvu ya polisi kila wakati huwa sio njia sahihi ya kukabiliana na changamoto ndogo za namna hii kama kiongozi inaweza kumletea doa kiutendaji.

RC anashindwa nini kupita hapo na kuwasikiliza then akatoa amri watawanyike anafanyia kazi na yakaisha salama?
Kwan lazima??????
 
Hata kama ni eneo la zebra ,mtembea kwa miguu bado ana wajibu wa kufanya kabla ya kuvuka.Tatizo kubwa mtu akiwa kwenye zebra anajiona kama ni sehemu salama kabisa,kitu ambacho sio sahihi.
yuko barabarani anachukulia yuko chumbani kwake! Barabarani ni barabarani tu, umakini unatakiwa haijalishi ni zebra ama antelope.


JESUS SAVES!
 
Kama ni watoto au vijana wadogo under 18 ni wajibu wa dereva kuchukua tahadhari.......kuwagonga watoto au vijana wadogo tena kwenye zebra ni uzembe wa hali ya juu, madereva wengi wa maeneo hayo wanaona kuendesha kwa mwendokasi kupindukia ni jambo la kujisifia, full ulimbukeni.
Sidhani kama kuna dreva anayeweza kufanya hivyo kwa makusudi,vyombo hivi vina matatizo ya kiufundi pia,ndio maana kabla hujavuka ujiridhishe je dreva ameniona?!
 
Back
Top Bottom