Updates:Vurugu zaendelea Tena magu Kwa siku ya pili

Updates:Vurugu zaendelea Tena magu Kwa siku ya pili

Hata kama ni eneo la zebra ,mtembea kwa miguu bado ana wajibu wa kufanya kabla ya kuvuka.Tatizo kubwa mtu akiwa kwenye zebra anajiona kama ni sehemu salama kabisa,kitu ambacho sio sahihi.
Kugonga mtu zebra [emoji3070] cross ni uzembe mkubwa sana acha kupindisha maneno, hakuna excuse hapo.
 
Kugonga mtu zebra [emoji3070] cross ni uzembe mkubwa sana acha kupindisha maneno, hakuna excuse hapo.
Huo ni mtizamo wako,kasome sheria za usalama barabarani,wajibu wa dreva na pedestrian kwenye zebra crossing!!!na ndio maana hata sasa wanafunzi wanafundishwa,jinsi ya kuvuka.
 
Sakata la wananchi wa Magu kurushia mawe magari ya abiria yanayoingia na kutoka Barabara ya Mwanza-Musoma na zile Barabara ndogo ndogo limeendelea leo ambapo Vurugu za Leo zimekuwa maradufu ukilinganisha na zile za Jana. Madai ya wananchi ni kwamba Mkuu wa mkoa aliwaahidi kufika na kuongea nao lakini hajatokea. Hali hii imepelekea hasira Kwa wananzengo na pia imepelekea biashara kuendelea kufungwa mapema kabisa likiwemo gulio maarufu la jumamosi. Ila dreva unagongaje abiria eneo la zebra?

Pray for Magu🙏
Mkuu wa Mkoa alikuwa buss na Mondi Ili kuhujumu mkutano wa CDM bila mafanikio!!

Kesho atawajieni labda.
 
Back
Top Bottom