Mkuu wa mkoa yuko bize na mwambinooo..[emoji23] [emoji23]Wakapige mawe ofisi ya mkuu wa mkoa waache ujinga
Kugonga mtu zebra [emoji3070] cross ni uzembe mkubwa sana acha kupindisha maneno, hakuna excuse hapo.Hata kama ni eneo la zebra ,mtembea kwa miguu bado ana wajibu wa kufanya kabla ya kuvuka.Tatizo kubwa mtu akiwa kwenye zebra anajiona kama ni sehemu salama kabisa,kitu ambacho sio sahihi.
Huo ni mtizamo wako,kasome sheria za usalama barabarani,wajibu wa dreva na pedestrian kwenye zebra crossing!!!na ndio maana hata sasa wanafunzi wanafundishwa,jinsi ya kuvuka.Kugonga mtu zebra [emoji3070] cross ni uzembe mkubwa sana acha kupindisha maneno, hakuna excuse hapo.
Mkuu wa Mkoa alikuwa buss na Mondi Ili kuhujumu mkutano wa CDM bila mafanikio!!Sakata la wananchi wa Magu kurushia mawe magari ya abiria yanayoingia na kutoka Barabara ya Mwanza-Musoma na zile Barabara ndogo ndogo limeendelea leo ambapo Vurugu za Leo zimekuwa maradufu ukilinganisha na zile za Jana. Madai ya wananchi ni kwamba Mkuu wa mkoa aliwaahidi kufika na kuongea nao lakini hajatokea. Hali hii imepelekea hasira Kwa wananzengo na pia imepelekea biashara kuendelea kufungwa mapema kabisa likiwemo gulio maarufu la jumamosi. Ila dreva unagongaje abiria eneo la zebra?
Pray for Magu🙏