Updates za kifo cha Afande Luteni Kanali Muna aliyeuawa Kawe kwa kuchomwa kisu na dereva bajaji Kato

Updates za kifo cha Afande Luteni Kanali Muna aliyeuawa Kawe kwa kuchomwa kisu na dereva bajaji Kato

Afande ( Luteni Kanali ) aliyeuawa jana Kawe Jirani na Baa maarufu ya Bombardier anaitwa Muna.

Marehemu ni Mkazi wa Mkoa wa Singida.

Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa kapandishwa Cheo na alikuwa anaenda kuwa Mkuu wa Kikosi Mkoani Arusha na leo Ijumaa ndiyo alikuwa anatakiwa Kuripoti tayari kukabidhiwa Majukumu.

Marehemu Afande Luteni Kanali Muna aliuliwa kwa Kuchomwa na Kisu cha Kukunja na Kijana aitwae Kato huku Mkewe na Mwanae wa Kiume wakiwa ndani ya Gari.

Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa ameenda Kubadili Tairi za Gari lake kwa Mfanyabiashara aitwae Chinga ambaye huwa Wanakunywa wote katika Baa yake ya Maifea Kawe ambayo ndiyo huwa anapenda Kunywa na hata wakati anachomwa Kisu hicho alikuwa amekunya kidogo ila anajitambua.

Afande Luteni Kanali Muna ndiyo alikuwa wa Kwanza kumkabili ( Kuzozana ) na Kijana ( Mchoma Kisu aitwae ) Kato baada ya Kuombwa asogeze Gari lake ili apite ndiyo Marehemu Afande Luteni Kanali Muna kwa Jeuri na Ubabe akamjibu Dogo ( Kato ) vibaya na kwenda Kumzaba Makofi mawili matatu.

Kijana aliyemchoma Kisu kilichopelekea Umauti Afande Luteni Kanali Muna aitwae Kato alikuwa anataka kuwahi Kawe mwisho Maringo ambako aliambiwa kuwa Mwizi wa Bajajj yake kaonekana na kwamba hata hicho Kisu alichokuwa nacho ( alichommaliza nacho Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ) kilikuwa ni cha kwenda Kukabiliana na huyo Mwizi wake ila Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alijiingiza tu mwenyewe katika 18 zake.

Mwili wa Marehemu Afande Luteni Kanali Muna umeagwa leo ( Mchana ) huu Hospitali ya Jeshi Lugalo na sasa uko safarini Kusafirishwa kwenda Kwao kwa Watani zangu Wanyiramba na Wanyaturu Mkoani Singida kwa Maziko rasmi Kesho.

Mchoma Kisu ( Muuaji Kato ) amekamatwa Jana akiwa njiani Kutoroka na Wanajeshi walitaka wapewe Wao, ila Jeshi la Polisi likawakatalia na Kumshikilia wao wakisema hiyo ni Kesi ya Kiraia na siyo ya Kijeshi kama ambavyo Wanajeshi walikuwa wanataka Kuilazimisha iwe hivyo.

Jana Wakazi wa Kawe ( hasa wa eneo husika ) walipokea Kipigo Kikali sana kutoka kwa Wanajeshi ( hasa MP ) kutokea Kambini Lugalo ambapo GENTAMYCINE nimekutana na baadhi ya akina Mama na Wahudumu wa Baa ya Bombardier Kawe wakiwa Wanachechemea, wanatia Huruma huku wakiwa wanatokea Hospitali za Ndahani, kwa Mambo na Shamba ( ya Serikali ) kupatiwa Matibabu kwani Jana walikuwa hawachaguliwi wa Kupigwa kwa Hasira na hakika Kipondo kilitembezwa na Wanajeshi ( MP )

Ahadi waliyoitoa Wanajeshi ( hasa MP wa Lugalo ) ni kwamba Leo kuanzia Saa 10 Jioni wanarejea tena kwa Oparesheni yao Kabambe na kwamba leo watapita / wataingia nyunba kwa nyumba hata kama Unaukweka ( Unakunya ) utachomolewa Chooni uje upokee Kipigo utaje Wahuni unaowajua na ukimaliza huku ukiwa na Maumivu ya Kipigo chao unarejea Chooni kuendelea na Zoezi lako la Kunya ( Kuukweka )

Sifa zilizozoeleka za Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ni ya Ubabe wake wa Kiuanajeshi aliokuwa nao hasa kwa Raia, Kugambeka ( Kulewa ) mno Baa yake Kubwa ya Maifea Kawe ila akiwa anataka Totooz ( Udhaifu mkubwa aliokuwa nao ) alikuwa akipenda kuweka Kambi katika Baa ya Wauza Malaya ( Wachafu na Wasafi ) ya Igole iliyo Mita chache tu na Kituo cha Polisi Kawe ambacho baadhi yao hao Mihemko ya Kibaiolojia ikiwazidia huvuka tu barabara na kwenda Kuponea kwa hao hao Makahaba.

Inasemekana kilichowakera Wanajeshi wa Kawe ( hasa MP ) baada ya Boss wao Marehemu Afande Luteni Kanali Muna Kuuawa hivyo na Kijana Kato ni kwa Polisi kuwanyima / kukataa kuwapa Mtuhumiwa ili waende nae Jeshini Lugalo wakamuadabishe kwa Sheria zao.

Ni haya tu nimeona niwaletee mjue.
Nasikitika familia inepoteza baba
Nasikitika serikali imepoteza asset.

Nasikitika Jeshi hasa MP wa Lugalo wana act kama wanafunzi wa Tambaza ile iliyofungiwa. Kama mtuhumiwa ameshakamatwa, je raia wana kosa gani?

Nashauri wananchi wassidiwe kuwapeleka mbele ya sheria kikosi cha MP kinachoendesga kipigo kwa wananchi.

CCM imetufikisha mahala ambapo kuna walio juu ya sheria, wenye sheria na sheria yenyewe kuwa mtu binafsi.

Utii wa sheria ni ibada ya haki kwa nchi inayoheshimu haki za binadamu
 
Afande ( Luteni Kanali ) aliyeuawa jana Kawe Jirani na Baa maarufu ya Bombardier anaitwa Muna.

Marehemu ni Mkazi wa Mkoa wa Singida.

Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa kapandishwa Cheo na alikuwa anaenda kuwa Mkuu wa Kikosi Mkoani Arusha na leo Ijumaa ndiyo alikuwa anatakiwa Kuripoti tayari kukabidhiwa Majukumu.

Marehemu Afande Luteni Kanali Muna aliuliwa kwa Kuchomwa na Kisu cha Kukunja na Kijana aitwae Kato huku Mkewe na Mwanae wa Kiume wakiwa ndani ya Gari.

Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa ameenda Kubadili Tairi za Gari lake kwa Mfanyabiashara aitwae Chinga ambaye huwa Wanakunywa wote katika Baa yake ya Maifea Kawe ambayo ndiyo huwa anapenda Kunywa na hata wakati anachomwa Kisu hicho alikuwa amekunya kidogo ila anajitambua.

Afande Luteni Kanali Muna ndiyo alikuwa wa Kwanza kumkabili ( Kuzozana ) na Kijana ( Mchoma Kisu aitwae ) Kato baada ya Kuombwa asogeze Gari lake ili apite ndiyo Marehemu Afande Luteni Kanali Muna kwa Jeuri na Ubabe akamjibu Dogo ( Kato ) vibaya na kwenda Kumzaba Makofi mawili matatu.

Kijana aliyemchoma Kisu kilichopelekea Umauti Afande Luteni Kanali Muna aitwae Kato alikuwa anataka kuwahi Kawe mwisho Maringo ambako aliambiwa kuwa Mwizi wa Bajajj yake kaonekana na kwamba hata hicho Kisu alichokuwa nacho ( alichommaliza nacho Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ) kilikuwa ni cha kwenda Kukabiliana na huyo Mwizi wake ila Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alijiingiza tu mwenyewe katika 18 zake.

Mwili wa Marehemu Afande Luteni Kanali Muna umeagwa leo ( Mchana ) huu Hospitali ya Jeshi Lugalo na sasa uko safarini Kusafirishwa kwenda Kwao kwa Watani zangu Wanyiramba na Wanyaturu Mkoani Singida kwa Maziko rasmi Kesho.

Mchoma Kisu ( Muuaji Kato ) amekamatwa Jana akiwa njiani Kutoroka na Wanajeshi walitaka wapewe Wao, ila Jeshi la Polisi likawakatalia na Kumshikilia wao wakisema hiyo ni Kesi ya Kiraia na siyo ya Kijeshi kama ambavyo Wanajeshi walikuwa wanataka Kuilazimisha iwe hivyo.

Jana Wakazi wa Kawe ( hasa wa eneo husika ) walipokea Kipigo Kikali sana kutoka kwa Wanajeshi ( hasa MP ) kutokea Kambini Lugalo ambapo GENTAMYCINE nimekutana na baadhi ya akina Mama na Wahudumu wa Baa ya Bombardier Kawe wakiwa Wanachechemea, wanatia Huruma huku wakiwa wanatokea Hospitali za Ndahani, kwa Mambo na Shamba ( ya Serikali ) kupatiwa Matibabu kwani Jana walikuwa hawachaguliwi wa Kupigwa kwa Hasira na hakika Kipondo kilitembezwa na Wanajeshi ( MP )

Ahadi waliyoitoa Wanajeshi ( hasa MP wa Lugalo ) ni kwamba Leo kuanzia Saa 10 Jioni wanarejea tena kwa Oparesheni yao Kabambe na kwamba leo watapita / wataingia nyunba kwa nyumba hata kama Unaukweka ( Unakunya ) utachomolewa Chooni uje upokee Kipigo utaje Wahuni unaowajua na ukimaliza huku ukiwa na Maumivu ya Kipigo chao unarejea Chooni kuendelea na Zoezi lako la Kunya ( Kuukweka )

Sifa zilizozoeleka za Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ni ya Ubabe wake wa Kiuanajeshi aliokuwa nao hasa kwa Raia, Kugambeka ( Kulewa ) mno Baa yake Kubwa ya Maifea Kawe ila akiwa anataka Totooz ( Udhaifu mkubwa aliokuwa nao ) alikuwa akipenda kuweka Kambi katika Baa ya Wauza Malaya ( Wachafu na Wasafi ) ya Igole iliyo Mita chache tu na Kituo cha Polisi Kawe ambacho baadhi yao hao Mihemko ya Kibaiolojia ikiwazidia huvuka tu barabara na kwenda Kuponea kwa hao hao Makahaba.

Inasemekana kilichowakera Wanajeshi wa Kawe ( hasa MP ) baada ya Boss wao Marehemu Afande Luteni Kanali Muna Kuuawa hivyo na Kijana Kato ni kwa Polisi kuwanyima / kukataa kuwapa Mtuhumiwa ili waende nae Jeshini Lugalo wakamuadabishe kwa Sheria zao.

Ni haya tu nimeona niwaletee mjue.
Umeandika uwongo mwingi sana. Huna habari kamili umekurupuka
 
Wanajeshi ni wajinga sana. Safi sana kijana kwa kuua huyo mjinga. Raia tushike hapo hapo akileta ubabe toa tu roho. Akalete ubabe wake kwa funza huko kaburini.
 
Afande ( Luteni Kanali ) aliyeuawa jana Kawe Jirani na Baa maarufu ya Bombardier anaitwa Muna.

Marehemu ni Mkazi wa Mkoa wa Singida.

Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa kapandishwa Cheo na alikuwa anaenda kuwa Mkuu wa Kikosi Mkoani Arusha na leo Ijumaa ndiyo alikuwa anatakiwa Kuripoti tayari kukabidhiwa Majukumu.

Marehemu Afande Luteni Kanali Muna aliuliwa kwa Kuchomwa na Kisu cha Kukunja na Kijana aitwae Kato huku Mkewe na Mwanae wa Kiume wakiwa ndani ya Gari.

Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa ameenda Kubadili Tairi za Gari lake kwa Mfanyabiashara aitwae Chinga ambaye huwa Wanakunywa wote katika Baa yake ya Maifea Kawe ambayo ndiyo huwa anapenda Kunywa na hata wakati anachomwa Kisu hicho alikuwa amekunya kidogo ila anajitambua.

Afande Luteni Kanali Muna ndiyo alikuwa wa Kwanza kumkabili ( Kuzozana ) na Kijana ( Mchoma Kisu aitwae ) Kato baada ya Kuombwa asogeze Gari lake ili apite ndiyo Marehemu Afande Luteni Kanali Muna kwa Jeuri na Ubabe akamjibu Dogo ( Kato ) vibaya na kwenda Kumzaba Makofi mawili matatu.

Kijana aliyemchoma Kisu kilichopelekea Umauti Afande Luteni Kanali Muna aitwae Kato alikuwa anataka kuwahi Kawe mwisho Maringo ambako aliambiwa kuwa Mwizi wa Bajajj yake kaonekana na kwamba hata hicho Kisu alichokuwa nacho ( alichommaliza nacho Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ) kilikuwa ni cha kwenda Kukabiliana na huyo Mwizi wake ila Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alijiingiza tu mwenyewe katika 18 zake.

Mwili wa Marehemu Afande Luteni Kanali Muna umeagwa leo ( Mchana ) huu Hospitali ya Jeshi Lugalo na sasa uko safarini Kusafirishwa kwenda Kwao kwa Watani zangu Wanyiramba na Wanyaturu Mkoani Singida kwa Maziko rasmi Kesho.

Mchoma Kisu ( Muuaji Kato ) amekamatwa Jana akiwa njiani Kutoroka na Wanajeshi walitaka wapewe Wao, ila Jeshi la Polisi likawakatalia na Kumshikilia wao wakisema hiyo ni Kesi ya Kiraia na siyo ya Kijeshi kama ambavyo Wanajeshi walikuwa wanataka Kuilazimisha iwe hivyo.

Jana Wakazi wa Kawe ( hasa wa eneo husika ) walipokea Kipigo Kikali sana kutoka kwa Wanajeshi ( hasa MP ) kutokea Kambini Lugalo ambapo GENTAMYCINE nimekutana na baadhi ya akina Mama na Wahudumu wa Baa ya Bombardier Kawe wakiwa Wanachechemea, wanatia Huruma huku wakiwa wanatokea Hospitali za Ndahani, kwa Mambo na Shamba ( ya Serikali ) kupatiwa Matibabu kwani Jana walikuwa hawachaguliwi wa Kupigwa kwa Hasira na hakika Kipondo kilitembezwa na Wanajeshi ( MP )

Ahadi waliyoitoa Wanajeshi ( hasa MP wa Lugalo ) ni kwamba Leo kuanzia Saa 10 Jioni wanarejea tena kwa Oparesheni yao Kabambe na kwamba leo watapita / wataingia nyunba kwa nyumba hata kama Unaukweka ( Unakunya ) utachomolewa Chooni uje upokee Kipigo utaje Wahuni unaowajua na ukimaliza huku ukiwa na Maumivu ya Kipigo chao unarejea Chooni kuendelea na Zoezi lako la Kunya ( Kuukweka )

Sifa zilizozoeleka za Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ni ya Ubabe wake wa Kiuanajeshi aliokuwa nao hasa kwa Raia, Kugambeka ( Kulewa ) mno Baa yake Kubwa ya Maifea Kawe ila akiwa anataka Totooz ( Udhaifu mkubwa aliokuwa nao ) alikuwa akipenda kuweka Kambi katika Baa ya Wauza Malaya ( Wachafu na Wasafi ) ya Igole iliyo Mita chache tu na Kituo cha Polisi Kawe ambacho baadhi yao hao Mihemko ya Kibaiolojia ikiwazidia huvuka tu barabara na kwenda Kuponea kwa hao hao Makahaba.

Inasemekana kilichowakera Wanajeshi wa Kawe ( hasa MP ) baada ya Boss wao Marehemu Afande Luteni Kanali Muna Kuuawa hivyo na Kijana Kato ni kwa Polisi kuwanyima / kukataa kuwapa Mtuhumiwa ili waende nae Jeshini Lugalo wakamuadabishe kwa Sheria zao.

Ni haya tu nimeona niwaletee mjue.
Kitu walichokosa watu WA ulinzi tz ni kuheshimu kila mtu wanatakiwa wafundwe sana iyo issue,nahisi ni tofauti na nchi nyingine zilizoendelea kijeshi,
 
Wanajeshi waache ubabe. Kuna uzi hapa Jf uliwaonya kuacha ubabe, vinginevyo wananchi wakikasirika hawana kwa kukimbilia.
GYNTAMYCINE umeandika vizuri, lakini badili hiyo avatar. Huyo ni kichaa, kapoteza imani kwa watu. Muuwaji.
Ni mimi ndiye nilileta huo uzi
 
Nasikitika familia inepoteza baba
Nasikitika serikali imepoteza asset.

Nasikitika Jeshi hasa MP wa Lugalo wana act kama wanafunzi wa Tambaza ile iliyofungiwa. Kama mtuhumiwa ameshakamatwa, je raia wana kosa gani?

Nashauri wananchi wassidiwe kuwapeleka mbele ya sheria kikosi cha MP kinachoendesga kipigo kwa wananchi.

CCM imetufikisha mahala ambapo kuna walio juu ya sheria, wenye sheria na sheria yenyewe kuwa mtu binafsi.

Utii wa sheria ni ibada ya haki kwa nchi inayoheshimu haki za binadamu

Yaani umeniwekea maneno mdomoni, nilitaka kuandika kuwa inakuwaje Jeshi linabehave kama wale watoto watukutu wa Tambaza wa zamani , eti wanaenda kuanzisha "Zali".

Umenikumbusha enzi hizo Mmoja wa wanafunzi hao akikorofishana na Kondakta wanaenda kuitana na kuleta fujo kwa makondakta wote barabarani. Ujinga mtupu!

Hebu jeshi lianze kuact professionally, siyo ujinga ujinga huu wa kuleta fujo mitaani kama wa watoto wa sekondari wa zamani
 
Poleni kwa familia ya mwanajeshi pole kwa kato kwa maana hivyo ndivyo wanajeshi walivyo
Kuna safari moja nikiwa ktk duka langu maneneo flani kitu kilichokuwa kinaniboa watu wenye magari kuja kupaki gari mbele ya duka hili jambo nilikuwa kila siku napambana na watu sasa kuna siku akaja jamaa mmoja akapaki gari lake mbele ya duka langu kibaya hakufunga kioo nikamfata na kumwambia naomba ufunge kioo maaana unaweza ibiwa halafu ukatusumbua wakati sisi hapa tunafatuta hela hatutaki kupoteza muda kugombana na mtu hiyo nguvu naiwekeza kutafuta hela akajibu kwa nyodo eti niibiwe mtafunga maduka wote jeshi lote litaamia hapa
Tukaanza mzozo pale pale maana alikuwa anaongea maneno ya dharau na kukera kuna jamaa pembeni yangu ana duka akanifata akaniambia acha si unajua wanajeshi hao wasije kutupiga hapa akanitoa
Asikwambie mtu kwa dunia hii ya sasa hivi ukiwa na shida sana na huoni mwanga wa maisha yaan yamekupiga aisee una develop Traumatic Psychosis ambayo hautakuwa na chakuchofia wala kuogopa maana unaona hata ukifa sawa maana huna cha kupoteza
Sasa mm nakumbuka miaka hiyo ndio nilikuwa hivyo nipo nipo sina kazi ya maana kula shida kulala shida sina mbele yaan ilibaki tupigane basi pale dukani kulikuwa kuna kisu kikali nikajisemea akanigusa yaan namtoa utumbo njee
Toka siku hiyo yule mjeda alikuwa akija pale dukani akawa ananisalimia sana na akawa rafiki angu maana hakutegemea kukutana na mtu mbishi maana siku tulibishana sana kukosa wale wenye duka wenzangu zamani sana tulikuwa tushazichapa na mm nilikuwa nimejiandaa
Wanajeshi wanataka wabadilike wamezidi ubabe sana maisha yamebadilika vijana wengi hawana kazi hawana kipato cha uhakika hana pakulala pazuri hana uhakika wa kula pazuri na umri unaenda huyu anakuwa kadevelop Traumatic Psychosis ya maisha kwann yeye anakuwa yupo hivyo ukianzisha nae ugomvi kukuuwa ni rahisi
Alivyokuwa kato mm naelewa kwakuwa nilishawahi kupitia mseto mgumu wa maisha ilibaki kidogo nifanye kama kato kwa mjeda yule ila nashkuru hakunigusa hata kidogo ilikuwa maneno ambapo tulikuwa tunaelekea huko ila wauza duka wenzangu walinitoa fasta ndio ikawa salama ya yule mjeda
 
Poleni kwa familia ya mwanajeshi pole kwa kato kwa maana hivyo ndivyo wanajeshi walivyo
Kuna safari moja nikiwa ktk duka langu maneneo flani kitu kilichokuwa kinaniboa watu wenye magari kuja kupaki gari mbele ya duka hili jambo nilikuwa kila siku napambana na watu sasa kuna siku akaja jamaa mmoja akapaki gari lake mbele ya duka langu kibaya hakufunga kioo nikamfata na kumwambia naomba ufunge kioo maaana unaweza ibiwa halafu ukatusumbua wakati sisi hapa tunafatuta hela hatutaki kupoteza muda kugombana na mtu hiyo nguvu naiwekeza kutafuta hela akajibu kwa nyodo eti niibiwe mtafunga maduka wote jeshi lote litaamia hapa
Tukaanza mzozo pale pale maana alikuwa anaongea maneno ya dharau na kukera kuna jamaa pembeni yangu ana duka akanifata akaniambia acha si unajua wanajeshi hao wasije kutupiga hapa akanitoa
Asikwambie mtu kwa dunia hii ya sasa hivi ukiwa na shida sana na huoni mwanga wa maisha yaan yamekupiga aisee una develop Traumatic Psychosis ambayo hautakuwa na chakuchofia wala kuogopa maana unaona hata ukifa sawa maana huna cha kupoteza
Sasa mm nakumbuka miaka hiyo ndio nilikuwa hivyo nipo nipo sina kazi ya maana kula shida kulala shida sina mbele yaan ilibaki tupigane basi pale dukani kulikuwa kuna kisu kikali nikajisemea akanigusa yaan namtoa utumbo njee
Toka siku hiyo yule mjeda alikuwa akija pale dukani akawa ananisalimia sana na akawa rafiki angu maana hakutegemea kukutana na mtu mbishi maana siku tulibishana sana kukosa wale wenye duka wenzangu zamani sana tulikuwa tushazichapa na mm nilikuwa nimejiandaa
Wanajeshi wanataka wabadilike wamezidi ubabe sana maisha yamebadilika vijana wengi hawana kazi hawana kipato cha uhakika hana pakulala pazuri hana uhakika wa kula pazuri na umri unaenda huyu anakuwa kadevelop Traumatic Psychosis ya maisha kwann yeye anakuwa yupo hivyo ukianzisha nae ugomvi kukuuwa ni rahisi
Alivyokuwa kato mm naelewa kwakuwa nilishawahi kupitia mseto mgumu wa maisha ilibaki kidogo nifanye kama kato kwa mjeda yule ila nashkuru hakunigusa hata kidogo ilikuwa maneno ambapo tulikuwa tunaelekea huko ila wauza duka wenzangu walinitoa fasta ndio ikawa salama ya yule mjeda
Aisee!
 
Back
Top Bottom