Updates za kifo cha Afande Luteni Kanali Muna aliyeuawa Kawe kwa kuchomwa kisu na dereva bajaji Kato

Manslaughter hiyo kaua bila kukusudia ilikua ni kwenye harakati ya kujitetea sasa unampiga mtu makofi bila sababu kwanini? Vijana wanapambana na hali ngumu ya maisha + msongo wa mawazo na bado unaenda kumpiga bila sababu kwanini asijitetee.
 
kama nakumbuka hii mkuu..ilikuaje?
 
Hilo lilikuwa jeshi la zamani siku hizi kidogo Heshima ya jeshi imerudi awapigi sana raia. Kutokana na Sheria kukazwa sana . Japo watu kama wakina marehemu Kanal Bado awajaisha...ilihali Kuna sisitizwa sana kutokutumia Sheria mkononi
 
Asante sana Mkuu kwa Credits zako Kwangu ambazo nimezipokea kwa Mikono yote Miwili na umenipa Nguvu ya kuendelea Kuwajuza kwa mengine pale yakijitokeza.

Kwa huku Kunisifia Kwako jiandae Kuambiwa na Fools Critics wangu hapa JamiiForums kuwa hii ID yako ni yangu ( Mimi Mwenyewe ) na hapa nimejisifia tu ili kupata Umaarufu wakisahau kuwa GENTAMYCINE nilianza kuwa maarufu na mvuto kwa Watu tokea Mwenyezi Mungu alipoanza Kuniumba na ndiyo maana hata Kiasili akanifanya niwe "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" nilivyo.
 
Pole sana mkuu kidogo tu ungeuwa boya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…