Updates za kifo cha Afande Luteni Kanali Muna aliyeuawa Kawe kwa kuchomwa kisu na dereva bajaji Kato

Naogopa hata kukomenti jamani
 
Mambo mengine ukikutana nayo ni ya kuyapuuza tu unaachana nayo

Ova
 
Umeongea vzr sana
 
Haya mambo ya kutunishiana misuli
Kutaka kuoneka nani zaidi huko uraiani,itakugharimu tu maisha yako
Mambo mengine ni kuachana nayo
Tu

Ova
Mie niliwahi poteza wana kwa ubabe wa kijinga jinga ,pale Ambrosia ,kawe ya chini
Pale Bar one ,enzi zile za kinje

Ukiwa na familia kuwa mpole kuwa mwanadiplomasia
 
Mie niliwahi poteza wana kwa ubabe wa kijinga jinga ,pale Ambrosia ,kawe ya chini
Pale Bar one ,enzi zile za kinje

Ukiwa na familia kuwa mpole kuwa mwanadiplomasia
Unakumbuka tukio la yule conrad ambrosia, alivyowatandika risasi wale
Walinzi ambrosia
Ilimgharimu sana aise....

Haya mahasira, ambayo hayana mbele wala nyuma hayafai
Mambo ya kijinga tu yanakugharimu uhai wako, sababu zenyewe hazina kichwa wala miguu
Huyo afande na jamaa wa bajaji wote.

Ova
 
Hivi wale wapiga debe wa kawe mkwamani na kawe tanganyika packers bado wapo ?
Wale ndiyo chanzo cha wizi wa kawe .
Vilevile kuna asilimia kubwa ya Bajaji na Bodaboda wanashirikiana na wezi au wao vilevile ni wezi .
Huyo dogo atakuwa anatumia bangi au ni mwizi
 
Alomuua washamkamata sijui wanaenda kuwapiga raia kwasababu gani tena

Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…