mahatmaxlla
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 896
- 1,435
mwamposa anadili na roho wajeda wanadili na mwili tu.anaweza kuwatolea hofu na uoga ila maumivu ya mwili yakawa palepaleMwamposa si yuko huko awatulize
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwamposa anadili na roho wajeda wanadili na mwili tu.anaweza kuwatolea hofu na uoga ila maumivu ya mwili yakawa palepaleMwamposa si yuko huko awatulize
Ova
Afande ( Luteni Kanali ) aliyeuawa jana Kawe Jirani na Baa maarufu ya Bombardier anaitwa Muna.
Marehemu ni Mkazi wa Mkoa wa Singida.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa kapandishwa Cheo na alikuwa anaenda kuwa Mkuu wa Kikosi Mkoani Arusha na leo Ijumaa ndiyo alikuwa anatakiwa Kuripoti tayari kukabidhiwa Majukumu.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna aliuliwa kwa Kuchomwa na Kisu cha Kukunja na Kijana aitwae Kato huku Mkewe na Mwanae wa Kiume wakiwa ndani ya Gari.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa ameenda Kubadili Tairi za Gari lake kwa Mfanyabiashara aitwae Chinga ambaye huwa Wanakunywa wote katika Baa yake ya Maifea Kawe ambayo ndiyo huwa anapenda Kunywa na hata wakati anachomwa Kisu hicho alikuwa amekunya kidogo ila anajitambua.
Afande Luteni Kanali Muna ndiyo alikuwa wa Kwanza kumkabili ( Kuzozana ) na Kijana ( Mchoma Kisu aitwae ) Kato baada ya Kuombwa asogeze Gari lake ili apite ndiyo Marehemu Afande Luteni Kanali Muna kwa Jeuri na Ubabe akamjibu Dogo ( Kato ) vibaya na kwenda Kumzaba Makofi mawili matatu.
Kijana aliyemchoma Kisu kilichopelekea Umauti Afande Luteni Kanali Muna aitwae Kato alikuwa anataka kuwahi Kawe mwisho Maringo ambako aliambiwa kuwa Mwizi wa Bajajj yake kaonekana na kwamba hata hicho Kisu alichokuwa nacho ( alichommaliza nacho Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ) kilikuwa ni cha kwenda Kukabiliana na huyo Mwizi wake ila Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alijiingiza tu mwenyewe katika 18 zake.
Mwili wa Marehemu Afande Luteni Kanali Muna umeagwa leo ( Mchana ) huu Hospitali ya Jeshi Lugalo na sasa uko safarini Kusafirishwa kwenda Kwao kwa Watani zangu Wanyiramba na Wanyaturu Mkoani Singida kwa Maziko rasmi Kesho.
Mchoma Kisu ( Muuaji Kato ) amekamatwa Jana akiwa njiani Kutoroka na Wanajeshi walitaka wapewe Wao, ila Jeshi la Polisi likawakatalia na Kumshikilia wao wakisema hiyo ni Kesi ya Kiraia na siyo ya Kijeshi kama ambavyo Wanajeshi walikuwa wanataka Kuilazimisha iwe hivyo.
Jana Wakazi wa Kawe ( hasa wa eneo husika ) walipokea Kipigo Kikali sana kutoka kwa Wanajeshi ( hasa MP ) kutokea Kambini Lugalo ambapo GENTAMYCINE nimekutana na baadhi ya akina Mama na Wahudumu wa Baa ya Bombardier Kawe wakiwa Wanachechemea, wanatia Huruma huku wakiwa wanatokea Hospitali za Ndahani, kwa Mambo na Shamba ( ya Serikali ) kupatiwa Matibabu kwani Jana walikuwa hawachaguliwi wa Kupigwa kwa Hasira na hakika Kipondo kilitembezwa na Wanajeshi ( MP )
Ahadi waliyoitoa Wanajeshi ( hasa MP wa Lugalo ) ni kwamba Leo kuanzia Saa 10 Jioni wanarejea tena kwa Oparesheni yao Kabambe na kwamba leo watapita / wataingia nyunba kwa nyumba hata kama Unaukweka ( Unakunya ) utachomolewa Chooni uje upokee Kipigo utaje Wahuni unaowajua na ukimaliza huku ukiwa na Maumivu ya Kipigo chao unarejea Chooni kuendelea na Zoezi lako la Kunya ( Kuukweka )
Sifa zilizozoeleka za Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ni ya Ubabe wake wa Kiuanajeshi aliokuwa nao hasa kwa Raia, Kugambeka ( Kulewa ) mno Baa yake Kubwa ya Maifea Kawe ila akiwa anataka Totooz ( Udhaifu mkubwa aliokuwa nao ) alikuwa akipenda kuweka Kambi katika Baa ya Wauza Malaya ( Wachafu na Wasafi ) ya Igole iliyo Mita chache tu na Kituo cha Polisi Kawe ambacho baadhi yao hao Mihemko ya Kibaiolojia ikiwazidia huvuka tu barabara na kwenda Kuponea kwa hao hao Makahaba.
Inasemekana kilichowakera Wanajeshi wa Kawe ( hasa MP ) baada ya Boss wao Marehemu Afande Luteni Kanali Muna Kuuawa hivyo na Kijana Kato ni kwa Polisi kuwanyima / kukataa kuwapa Mtuhumiwa ili waende nae Jeshini Lugalo wakamuadabishe kwa Sheria zao.
Ni haya tu nimeona niwaletee mjue.
😂🤣Mbunye.
Taarifa ikufikie kuwa hiyo adhma yao imezuiwa kumbe huu Uzi wangu Umesomwa na Mkuu wao Jeshini na hata Mama nae hivyo Mkuu wa Kikosi kaonywa ole wake Askari wake watoke tena na Leo Kupiga na Kutesa hovyo Raia wa Kawe.Nasubiria update nyingine tena
Kichapo kilivyoendelea
Ova
Asante sana Mkuu na tuko pamoja.Gentamycine tunashukuru kwa report nzuri kuna kitu watakuwa wamejifunza.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Asante sana na Tubarikiwe sote.From today brother GENTAMYCINE sitaropoka na kuhukumu et wewe popoma kwa kusoma heading tu we jamaa noma kula salute yako kuanzia leo wewe rafiki yangu kila uzi wenye jina lako nitausoma
Kama kumetulia basi heri mkuuTaarifa ikufikie kuwa hiyo adhma yao imezuiwa kumbe huu Uzi wangu Umesomwa na Mkuu wao Jeshini na hata Mama nae hivyo Mkuu wa Kikosi kaonywa ole wake Askari wake watoke tena na Leo Kupiga na Kutesa hovyo Raia wa Kawe.
Hata hivyo kuna Kikundi fulani hivi cha Vijana Wahuni ( Wezi na Wavuta Bangi ) kiitwacho Bongo Msoto ( ambacho hata Mimi GENTAMYCINE sikipendi ) leo Mchana walikamatwa na Polisi waliokuwa na baadhi ya Wanajeshi ( MP ) na mpaka muda huu nakuandikia hii post wako ndani Kawe Police Station.
Ni hayo tu Mkuu ila Kawe kuko Shwari japo kuchukua Tahadhari ni muhimu kwani Wajeda huwa hawatabiriki.
Mfano GENTAMYCINE kuna sehemu nimekaa hapa na Demu naomba Mchezo, ila nimekaa Mkao wa Ki Usain Bolf ( Mwanariadha maarufu duniani ) ili Kikinuka tu na kuwaona Vijana wa CDF Gen. Mkunda niwaachie tu Manyoya kwa Kuwakimbia wasinidake.
Umaarufu wangu mkubwa, Mvuto wangu wa Kipekee hapa JamiiForums, Kubarikiwa Kwangu vingi na Mwenyezi Mungu, Maarifa makubwa niliyonayo na Uwezo wangu wa Kutukuka wa Akili na Ujengaji wa Hoja na kujua Mambo mengi ( kuwa All Rounder Person ) na Kuchambua Kwangu Matukio kumekuwa ni Chukizo kubwa kwa Wapumbavu akina Mshuza2 na Medecin huku Wakisahau kuwa Wanavyoumizwa nami na Kunionea Wivu kwa Kupendwa na Kukubalika na Great Thinkers hapa ndiyo wanazidi tu Kunipaisha.@GENTAMYCINE was just chilling, then you literally drag him by his collar to this violence, kwanini hampendi tranquility nyinyi watu?
Nampenda huyo aliye katika Avatar yangu hakuna Mfano hivyo utanisamehe sitobadili hiyo Avatar abadan.Wanajeshi waache ubabe. Kuna uzi hapa Jf uliwaonya kuacha ubabe, vinginevyo wananchi wakikasirika hawana kwa kukimbilia.
GYNTAMYCINE umeandika vizuri, lakini badili hiyo avatar. Huyo ni kichaa, kapoteza imani kwa watu. Muuwaji.
Benjamin BIBI Netanyahu Israel Premier.Ningeomba jina la huyo aliyemuweka kwenye avatar tafadhali.
Hawana kazi za kufanya wanabaki kuonea raia tu.Sema wanajesh huwa wanapenda ubabe Sana ,nimewahi pigishwa push up za kutosha na mabuti juu ....Kisa wamepita wanajesh watatu sijawasalimia ....
Nilifuatilie ili na Mimi nikatwe Mguu au? Wewe umeshindwa nini Kulifuatilia kivyakovyako hadi utoe Maelekezo Kwangu kama vile Unanilipa na Wewe ndiyo Boss wangu? Umenikera....!!Inasemekana huyo muuaji alikamatwa maeneo ya tegeta na wamemkata mguu.gentamycine fuatilia vizuri uje kuthibitisha hapa
Yeah alikuwa ameonja kidogo ila anajitambua.Kumbe afande amekutwa na umauti kalewa?.
Kawe wameng'oa kiraka kwenye jinzi za bishoo tena bishoo matata.Afande ( Luteni Kanali ) aliyeuawa jana Kawe Jirani na Baa maarufu ya Bombardier anaitwa Muna.
Marehemu ni Mkazi wa Mkoa wa Singida.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa kapandishwa Cheo na alikuwa anaenda kuwa Mkuu wa Kikosi Mkoani Arusha na leo Ijumaa ndiyo alikuwa anatakiwa Kuripoti tayari kukabidhiwa Majukumu.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna aliuliwa kwa Kuchomwa na Kisu cha Kukunja na Kijana aitwae Kato huku Mkewe na Mwanae wa Kiume wakiwa ndani ya Gari.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa ameenda Kubadili Tairi za Gari lake kwa Mfanyabiashara aitwae Chinga ambaye huwa Wanakunywa wote katika Baa yake ya Maifea Kawe ambayo ndiyo huwa anapenda Kunywa na hata wakati anachomwa Kisu hicho alikuwa amekunya kidogo ila anajitambua.
Afande Luteni Kanali Muna ndiyo alikuwa wa Kwanza kumkabili ( Kuzozana ) na Kijana ( Mchoma Kisu aitwae ) Kato baada ya Kuombwa asogeze Gari lake ili apite ndiyo Marehemu Afande Luteni Kanali Muna kwa Jeuri na Ubabe akamjibu Dogo ( Kato ) vibaya na kwenda Kumzaba Makofi mawili matatu.
Kijana aliyemchoma Kisu kilichopelekea Umauti Afande Luteni Kanali Muna aitwae Kato alikuwa anataka kuwahi Kawe mwisho Maringo ambako aliambiwa kuwa Mwizi wa Bajajj yake kaonekana na kwamba hata hicho Kisu alichokuwa nacho ( alichommaliza nacho Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ) kilikuwa ni cha kwenda Kukabiliana na huyo Mwizi wake ila Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alijiingiza tu mwenyewe katika 18 zake.
Mwili wa Marehemu Afande Luteni Kanali Muna umeagwa leo ( Mchana ) huu Hospitali ya Jeshi Lugalo na sasa uko safarini Kusafirishwa kwenda Kwao kwa Watani zangu Wanyiramba na Wanyaturu Mkoani Singida kwa Maziko rasmi Kesho.
Mchoma Kisu ( Muuaji Kato ) amekamatwa Jana akiwa njiani Kutoroka na Wanajeshi walitaka wapewe Wao, ila Jeshi la Polisi likawakatalia na Kumshikilia wao wakisema hiyo ni Kesi ya Kiraia na siyo ya Kijeshi kama ambavyo Wanajeshi walikuwa wanataka Kuilazimisha iwe hivyo.
Jana Wakazi wa Kawe ( hasa wa eneo husika ) walipokea Kipigo Kikali sana kutoka kwa Wanajeshi ( hasa MP ) kutokea Kambini Lugalo ambapo GENTAMYCINE nimekutana na baadhi ya akina Mama na Wahudumu wa Baa ya Bombardier Kawe wakiwa Wanachechemea, wanatia Huruma huku wakiwa wanatokea Hospitali za Ndahani, kwa Mambo na Shamba ( ya Serikali ) kupatiwa Matibabu kwani Jana walikuwa hawachaguliwi wa Kupigwa kwa Hasira na hakika Kipondo kilitembezwa na Wanajeshi ( MP )
Ahadi waliyoitoa Wanajeshi ( hasa MP wa Lugalo ) ni kwamba Leo kuanzia Saa 10 Jioni wanarejea tena kwa Oparesheni yao Kabambe na kwamba leo watapita / wataingia nyunba kwa nyumba hata kama Unaukweka ( Unakunya ) utachomolewa Chooni uje upokee Kipigo utaje Wahuni unaowajua na ukimaliza huku ukiwa na Maumivu ya Kipigo chao unarejea Chooni kuendelea na Zoezi lako la Kunya ( Kuukweka )
Sifa zilizozoeleka za Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ni ya Ubabe wake wa Kiuanajeshi aliokuwa nao hasa kwa Raia, Kugambeka ( Kulewa ) mno Baa yake Kubwa ya Maifea Kawe ila akiwa anataka Totooz ( Udhaifu mkubwa aliokuwa nao ) alikuwa akipenda kuweka Kambi katika Baa ya Wauza Malaya ( Wachafu na Wasafi ) ya Igole iliyo Mita chache tu na Kituo cha Polisi Kawe ambacho baadhi yao hao Mihemko ya Kibaiolojia ikiwazidia huvuka tu barabara na kwenda Kuponea kwa hao hao Makahaba.
Inasemekana kilichowakera Wanajeshi wa Kawe ( hasa MP ) baada ya Boss wao Marehemu Afande Luteni Kanali Muna Kuuawa hivyo na Kijana Kato ni kwa Polisi kuwanyima / kukataa kuwapa Mtuhumiwa ili waende nae Jeshini Lugalo wakamuadabishe kwa Sheria zao.
Ni haya tu nimeona niwaletee mjue.
Anafanya Mazoezi ya kuja Kuikanusha hii Taarifa yangu GENTAMYCINE mbele ya Media ( katika Press Conference atakayoiitisha hivi Karibu tu ) huku AKITUTISHA Watu kutoripoti Matukio yao kwa Raia ambayo mengi huwa ni ya Kipuuzi tupu.Yule msemaji wa jeshi hajaZungumza
Bado
Ova