harakati za siri
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,074
- 2,870
Naam ndo maana hizi media mtu uwe nawewe unazifatilia huko mitandaoni zilipo
Yeah, for data validity.
Ila kuna wakati muda haukurusu kabisa, unashtukizwa tu na kitu kizito.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam ndo maana hizi media mtu uwe nawewe unazifatilia huko mitandaoni zilipo
apo goba hidaya amenitendea jambo jana jionKwa hapa dar upepo ni mkali sana ulioambatana na baridi kali, ni mwendo wa kukoga mivumbi kipande hichi Cha Goba😅.
Tafadhali ni muhimu sana wakuu, tuepuke kukaa karibu na majengo mabovu ama vitu vya kuegeshwa. Unaweza kujikuta umebondwa na kitu kizito utosin!
angelie msijekujikuta madagascar maana hicho kisiwq chaelea etiZenji kuna upepo fulani
Ni kweli kabisaYeah, for data validity.
Ila kuna wakati muda haukurusu kabisa, unashtukizwa tu na kitu kizito.
Tumeweka mawe mfukoni hivyo tupo salama😅TANGAZOOO
shuhuliii ipooo kwa wattu wembambaa hakikishen popote mlipoo mko na wengine wa kuwasapoti huu upepooo n sombasombaa kwa afya zisizo na msimamooooooo....
muhimu mjihadhari kutembea pekeyenu kwa usalama wenu
hakikisha unaekuwa nae ana afya kidogo sio kama wewe maana utawasomba wote akuna wa kumsaidia mwenzie
Ni Shirika la Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani (WMO).Hivi anayetoa Majina ya Vimbunga huwa ni nani?
Maana safari hii tumeletewa jina la Kibantu kabisa Hidaya 🙌
Unguja ipi? Ina maana ule wa jana usiku wa kucha sio?Ndio umepita huo tayari, Hodi Unguja kisha Dar.
Wenye KUTAMBIKA WATAMBIKE.
🤪Hivi anayetoa Majina ya Vimbunga huwa ni nani?
Maana safari hii tumeletewa jina la Kibantu kabisa Hidaya 🙌
Watu hawajui hii kitu, kuna ambao hawajaona hata test yake tangu kitangazwe ndo maana
Hatari 😅Ni Shirika la Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani (WMO).
Huyu Hidaya anaachwa mbali sana na Malkia Katrina huyu bibie alileta sana kashikashi duniani..
Usiniulize swali llt mana hapo hata sielewu upepo ndio upi 😅Mbona TMA hawajasema kama Dar nayo itaathirika!wanasema pwani TU!!
Unataka umjue hidaya kasimama wapi umzodoe!!?Usiniulize swali llt mana hapo hata sielewu upepo ndio upi 😅
Malkia Kateina alikuwa baby wx wangu enzi za sekondari😂Ni Shirika la Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani (WMO).
Huyu Hidaya anaachwa mbali sana na Malkia Katrina huyu bibie alileta sana kashikashi duniani..
Kweli aisee. Mie jana sikulala vyema, nilidhani minazi itaangukia nyumba mweeh. Na umeme wakauzima. Kuna mda niliskia kwa mbaali vishindo nikajua kuna bati lishaezuka mahaliWatu hawajui hii kitu, kuna ambao hawajaona hata test yake tangu kitangazwe ndo maana
Kwa mujibu wao Leo ndio D-day kwa Unguja na Dar. Kama mko salama mpaka sasa basi tunatumai kimepungua nguvu kama walivyosema.Unguja ipi? Ina maana ule wa jana usiku wa kucha sio?