muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Dar haipo karibu na Pwani?.Mbona TMA hawajasema kama Dar nayo itaathirika!wanasema pwani TU!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar haipo karibu na Pwani?.Mbona TMA hawajasema kama Dar nayo itaathirika!wanasema pwani TU!!
Pale usalama upo wa kutosha mkuu, hapajaezekwa na mabati ya alafKizimkazi.aondolewe magogoni jamani akafichwe kigoma😅😅😅
Kizimkazi.aondolewe magogoni jamani akafichwe kigoma😅😅😅
una waamini TMA?Mbona TMA hawajasema kama Dar nayo itaathirika!wanasema pwani TU!!
Asije bebwa na kimbunga😂Pale usalama upo wa kutosha mkuu, hapajaezekwa na mabati ya alaf
Tz hatujawahi kuwa serious🤣🤣🤣Nipo Temeke hapa nimetoka nje kwenda uani nimekutana nacho aise! Sema kina sura nzuri ila speed yake kidogo haiko sawa.